Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Jeshi hufundisha na kusisitiza nidhamu ila wanajeshii wenyewe ndiyo shida wengine hujipulizia bangi matokeo yake ni hayo
Nahsisi watakuwa ni Askari tu Sio Maafisa wanaofNya hivyo
Shukran mkuu.

Wana viapo vya siri kuwa watiifu kwa chama tawala kilichopo
Mkuu ni Jukumu la kila mwanajeshi Kutumikia na Kusimamia kuitetea Serikali iliyopo madarakani na atakaye kaidi anapamban na Court marshall kwa kesi ya uhaini
 
mbona husemi kwa mujibu wa Katiba na sheria?

Sisi siyo wapumbavu kama mnavyojifariji
Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...

Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi
 
Ila waelewe raia ni wengi kuliko wao, raia wakiamua watatamani ardhi ipasuke ili waingie huko.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sasa Raia nyie mna Silaha yoyote hebu Achani kunichekesha 🤣🤣
Mnataka kurudi enzi Za maji mJi au hahahah
Hebu Jichanganyeni sasa..
Unakumbuka mwaka 1962 ,1963 na 1964 hivi Nyerere alitaka kupinduliwa na Tanganyika African Rifle akakimbia nchi...
Si angeagiza Raia wapambane 🤣🤣
 
Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...

Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi
Upo sahii mkuu
 
Binafsi tangu niliposikia ile Kauli ya Jeshi kutaka kuingia Mitaani kusaka 'Sare zao' kwa Raia nilipoteza Matumaini sana.

Mkuu mpya wa Jeshi ajifunze kwa waliomtangulia kuona waliweza vipi kuboresha mahusiano mazuri baina ya Jeshi na Raia..
 
Binafsi tangu niliposikia ile Kauli ya Jeshi kutaka kuingia Mitaani kusaka 'Sare zao' kwa Raia nilipoteza Matumaini sana.

Mkuu mpya wa Jeshi ajifunze kwa waliomtangulia kuona waliweza vipi kuboresha mahusiano mazuri baina ya Jeshi na Raia..
Hii umeongea point
 
Sasa Raia nyie mna Silaha yoyote hebu Achani kunichekesha 🤣🤣
Mnataka kurudi enzi Za maji mJi au hahahah
Hebu Jichanganyeni sasa..
Unakumbuka mwaka 1962 ,1963 na 1964 hivi Nyerere alitaka kupinduliwa na Tanganyika African Rifle akakimbia nchi...
Si angeagiza Raia wapambane 🤣🤣
Mkuu umeenda mbali sana ila umeongea point
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
elimu, elimu, elimu,elimu,elimu........ wengi wa wale watu wanaajiriwa kwa kushindana mbio na siyo akili
 
Back
Top Bottom