Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari

Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.

Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,

Pia baadhi ya watu wazima nao baada ya kufanya vibarua pesa zote huelekeza kwenye kamari na kusahau kuhudumia familia.

Hali hiyo imepelekea wananchi kuzimwagia soda,maji ndani ya machine hivo kuharibika ,na wengine kuzibomoa kabisa machine hizo.
1596477896845.jpg
 
Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.

Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,

Pia baadhi ya watu wazima nao baada ya kufanya vibarua pesa zote huelekeza kwenye kamari na kusahau kuhudumia familia.

Hali hiyo imepelekea wananchi kuzimwagia soda,maji ndani ya machine hivo kuharibika ,na wengine kuzibomoa kabisa machine hizo.View attachment 3082479
Ukijizoesha kucheza huo mchezo inageuka kuwa tabia sugu na hatarishi.Gusa unase.Fanya yote mema ila usithubutu kujifunza hilo dubwana.Utalia kwa kwikwi kama mtu mwenye kifaduro.
 
Mzee mmoja akitaka kuniuzia mji wake ati yeye kwakuwa ana mifugo basi ajisogeze porini kidogo ili mifugo ipate malisho .
Mimi hela Sina maana nilishahonga ,nikamconnect na rafiki yangu basi rafiki akampa milioni nne wakikubaliana mbili ammalizie mwezi wa kumi .

Mzee Sasa hivi hanisalimii Wala haniheshimu tena hapa kijijini kisa anavaa pamba Kali na pale anapouza hajahama eti asubiri amaliziwe hela take ,daily yupo bar anakunywa bia na kucheza dubwana basi nikichungulia nikamuona bar nacheeeeka mwenyewe maana najua hela itamuishia alafu hatakosa kwa kwenda na mwisho ataanza kujizoesha tena kwangu ndiyo hapo nitambutua kwa mineno ya kizaramo hataomini namngoja kwa hamu
 
Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.

Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,

Pia baadhi ya watu wazima nao baada ya kufanya vibarua pesa zote huelekeza kwenye kamari na kusahau kuhudumia familia.

Hali hiyo imepelekea wananchi kuzimwagia soda,maji ndani ya machine hivo kuharibika ,na wengine kuzibomoa kabisa machine hizo.View attachment 3082479
Hai hakuna simba na yanga na ccm ilishakufa.
 
Back
Top Bottom