uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Umeshahoji wale mahujaji wanaokanyagana na kufa kule uarabuni Kila mwaka (makah)Mwamposa mbona aliwaueni huko wapuuzi ninyi?
Au nao ni wapuuzi tu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshahoji wale mahujaji wanaokanyagana na kufa kule uarabuni Kila mwaka (makah)Mwamposa mbona aliwaueni huko wapuuzi ninyi?
Arusha wale si wameru wale ni gamblers og (wameru)wachaga hela Yao labda pombe tuHao ni gamblers wenyewe nenda Arusha ukaone .
Hebu tuje swala la msingi iweje wachaga na uelewa wao wote wanapigwa pesa na mpaka kuuawa na mwamposa wakati kwa mtu mwenye akili timamu hauwezi kuamini vile kuwa mafuta ya alizeti yanaondoa dhambi?Umeshahoji wale mahujaji wanaokanyagana na kufa kule uarabuni Kila mwaka (makah)
Au nao ni wapuuzi tu!?
Ila hao watakuwa ni wahamiaji wachaga hawawezi kucheza kamari tena kwa hela Yao jamaa wako smart sana
Kosa kubwa sana hili 😂😂😂😂goms Kuna dada hadi mwenye nyumba kaenda kuomba wamiliki wasimruhusu maana Kila hela ni yeye na dubu
Ni sababu zile zile zinazofanya mahujaji wasomi wasio na shida Wala tatizo waamini shetani anapigwa jiwe in turn shetani huyo anawanywa damHebu tuje swala la msingi iweje wachaga na uelewa wao wote wanapigwa pesa na mpaka kuuawa na mwamposa wakati kwa mtu mwenye akili timamu hauwezi kuamini vile kuwa mafuta ya alizeti yanaondoa dhambi?
Yaani hii Kitu inazidi kumaliza hadi maskini.
Kuhusu suala la namna ya kuhiji hilo lipo kimaandiko na sasa nionyeshe nabii ýeyote aliyewaambia watu wakanyage mafuta ya alizeti ili waondolewe dhambiNi sababu zile zile zinazofanya mahujaji wasomi wasio na shida Wala tatizo waamini shetani anapigwa jiwe in turn shetani huyo anawanywa dam
Kumbe Niko sahihi🤔Kuhusu suala la namna ya kuhiji hilo lipo kimaandiko na sasa nionyeshe nabii ýeyote aliyewaambia watu wakanyage mafuta ya alizeti ili waondolewe dhambi
Bwahaaaaaaaa.....🤣Mzee mmoja akitaka kuniuzia mji wake ati yeye kwakuwa ana mifugo basi ajisogeze porini kidogo ili mifugo ipate malisho .
Mimi hela Sina maana nilishahonga ,nikamconnect na rafiki yangu basi rafiki akampa milioni nne wakikubaliana mbili ammalizie mwezi wa kumi .
Mzee Sasa hivi hanisalimii Wala haniheshimu tena hapa kijijini kisa anavaa pamba Kali na pale anapouza hajahama eti asubiri amaliziwe hela take ,daily yupo bar anakunywa bia na kucheza dubwana basi nikichungulia nikamuona bar nacheeeeka mwenyewe maana najua hela itamuishia alafu hatakosa kwa kwenda na mwisho ataanza kujizoesha tena kwangu ndiyo hapo nitambutua kwa mineno ya kizaramo hataomini namngoja kwa hamu
Hauko sahihi kabisa wachaga ni wajinga mno ndio maana waliuawa na mwamposa kwa jambo ambalo hata biblia haijaagiza hivyoKumbe Niko sahihi🤔
Umasikini wa fikra huo, uvivu wa akili na mwiliYaani hii Kitu inazidi kumaliza hadi maskini.
Anaamini hiyo Buku anaweza kupata elfu 10 akanunue Unga na sukari
Peleka chuki zako kwenu dhidi ya Wachagga wewe kishoiya.Hauko sahihi kabisa wachaga ni wajinga mno ndio maana waliuawa na mwamposa kwa jambo ambalo hata biblia haijaagiza hivyo
Kutafuta kodi kwa njia nyepesi nyepesi sasa sijui kazi yaoNchi ina mpaka bodi ya michezo ya kubashiri na kamari unategemea nn?
Vijiji vingi vya Ukuryani walishakataa huo upuuzi.Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.
Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,
Pia baadhi ya watu wazima nao baada ya kufanya vibarua pesa zote huelekeza kwenye kamari na kusahau kuhudumia familia.
Hali hiyo imepelekea wananchi kuzimwagia soda,maji ndani ya machine hivo kuharibika ,na wengine kuzibomoa kabisa machine hizo.View attachment 3082479
Na sisi mikoa mingine tunafaa kuzikataa.Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari almaarufu kama Bonanza au kodokodo zinazotumia sarafu za 200 kuchezesha.
Wananchi wamechukua uamuzi huo baada ya watoto kuanza kuiba pesa majumbani na kwenda kucheza kamari,
Pia baadhi ya watu wazima nao baada ya kufanya vibarua pesa zote huelekeza kwenye kamari na kusahau kuhudumia familia.
Hali hiyo imepelekea wananchi kuzimwagia soda,maji ndani ya machine hivo kuharibika ,na wengine kuzibomoa kabisa machine hizo.View attachment 3082479
Niko Moshi muda huu maeneo ya Ushirika wa Neema.... Kuna wagogo wanafanya kazi shamba la kahawa Kilimanjaro Plantation aisee wanacheza mshahara wao wote hapa.Wanacheza sana tu. Nenda kaskazini huko utakutana nao.