Baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro hususani katika Wilaya ya Hai, wamezikataa machine za mchina za kamari

Hebu tuje swala la msingi iweje wachaga na uelewa wao wote wanapigwa pesa na mpaka kuuawa na mwamposa wakati kwa mtu mwenye akili timamu hauwezi kuamini vile kuwa mafuta ya alizeti yanaondoa dhambi?
Ni sababu zile zile zinazofanya mahujaji wasomi wasio na shida Wala tatizo waamini shetani anapigwa jiwe in turn shetani huyo anawanywa dam
 
Ni sababu zile zile zinazofanya mahujaji wasomi wasio na shida Wala tatizo waamini shetani anapigwa jiwe in turn shetani huyo anawanywa dam
Kuhusu suala la namna ya kuhiji hilo lipo kimaandiko na sasa nionyeshe nabii ýeyote aliyewaambia watu wakanyage mafuta ya alizeti ili waondolewe dhambi
 
Bwahaaaaaaaa.....🤣

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Vijiji vingi vya Ukuryani walishakataa huo upuuzi.
 
Na sisi mikoa mingine tunafaa kuzikataa.
Haya madude yanaharibu vijana hadi wanafunzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…