Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
[emoji28][emoji28][emoji28] dogo alikuwa na ma ahadi ya hatari yani . alafu nilikuwa speed nilikuwa na mda mchache sana hapa town.. mambo mazito yalikuwa nimtunie nauli tuje tukae mwanza anipe furaha hata wiki hivi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole mwamba...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28], embu tuone, hahaha sijui itakuwaje humu ndani asee, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji51]
Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena Wanaume wa humu kwa kupemba Wowowo wamepigwa wengi hebu jitokezeni huko mliko jificha tuwape pole ya kinafkii😁😁
Wajitokeze wamerogwaaa😊😊😊 wanaugulia maumivu kimyaa kimyaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ankoliii niacheee, hadi huyu niliyekua nae hapa anasema ataniporaa cm, maana nimekua chizii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tulikuwa tunashanga panga aje mwanza tule maisha hadi nimsahahu wife πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... ningetuma nauli mbona ningelia aisee chozi.. na hali ilivyo tight sasa hivi . ninge mroga
 
Mtatafutanaa hiyo sikuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mi kila siku nawaonyaga watu huwa hasikii asee,

Mi nimekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰, demu mzuri mtafute mtaani humo humu hamna kazi kwa asilimia kubwa 😎😎

Na picha zao sasa ukilinganisha na dp duuh, Mungu asaidie kwa kweli πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…