Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kwema nuzu😜Za mchana majirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema nuzu😜Za mchana majirani
Ila sio mengi kama fesibuku mkuu, si unaona huku makubwa jinga yamesanuka lakini fesibuku ukiwa na moyo wa chuma unawala za kichwa sana tu.makichwa panzi yamejaa hata humu jf.... 😂 akishaona avatar yenye makalio basi kapagawa
Kwenye social media ukizubaa unaliwa. Ukijifanya unapenda wanawake unapigwa. Ukijifanya una tamaa unapigwa. Lipi geni? Tuulize sisi tuliopo tangu miaka ya 2003 wakati MySpace ndiyo imeshika chati tukuambie. Hapa siyo kanisani (oppss.. hata makanisani nako siku hizi matapeli kibao).Msela kabisa anajifanya manzi ukimpigia simu anabana sauti ..... halafu ukute msela umesha andaa na condom kqbisa ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaaaaah!!!Hata uwe na ubongo mdogo lazima ushtuke tu, ndo nashangaa hapa raia walipigwaje vile?
Dogo kafeli na anaendeshwa na tamaa kashindwa kumtain status. Ujue hapa jf unaweza mvua mtu hata 1M kwa maneno tu.Daaah kweli we mtata 😂😂😂
Mimi hayo majinga majinga yanayoumba picha za wanawake kwenye vichwa vyao kwa kutumia post au avatar wanazopost halafu yanatongoza huwa nasema wacha yapigwe tu.Wengine Mkiangalia avatar tu mnawehukagaa kweli... ndio mkomeeee nasemajeeeeee mkomeee [emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]!
Siwez kugusia ya kule ni siriHeheeee hujaakuta wanaogawa pesa za asali [emoji3060]🫣[emoji2960]
😂😂😂😂😂😂😂😂 Mkuu acha kuchekesha watu naona unaongea kwa uchungu sana....Dogo kafeli na anaendeshwa na tamaa kashindwa kumtain status. Ujue hapa jf unaweza mvua mtu hata 1M kwa maneno tu.
Humu kuna vimtu vina pesa, hizo bukubuku piga fesibuku.
Mtu anakugrade kulingana na pesa uliyoomba. Sasa unaomba buku we kama sio mwajuma ndala ndefu wa kwamtogole ni nani sasa...
Aunt ukapumzike Sasa 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaaaaah!!!
Yani haka kamevalia njuga kweli huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe yeye anajileta kwenu? Mie nikajua nyie mna mfata kupitia nyuzi zake za kujisifiaaa woiiiiiiiii.
Hapo ndo anakwamaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi Una balaaa huu, yaan full dramaz khaaaa.
Hawa ndo waliosemwa hapa?Acha tu nikae kimya, 🤣🤣🤣🤣🤣.
. Na kila siku nasemaga JF haina siri watu hawaelewi nimekaa 👉👉👉👉👉👉👉, nawa zoom
Kuna mmoja tena, picha ake nikiidaka ntaweka, basi tu id zangu nyingi zimefungiwa humu, 😅😅😀😅
Unajua wewe mwenyewe sasa....endeleeni kubisha najua mimi ni mwanaume 😂
Nawee kutuma hizo picha bila caption ndo nn??[emoji281][emoji281][emoji281][emoji281][emoji281][emoji281][emoji281]
Yes, 😊😊😊😊 mkuu, huyo wa kiume id yake imepigwa ban mkuu, 😉Hawa ndo waliosemwa hapa?
Mafile tu ya hapa na pale watu mjiomgeze sio mtafuniwe kila kitu bana 😅😅😅😅Nawee kutuma hizo picha bils caption ndo nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwacheeee shangaziiiii nile ubuyuu wa piemuniii, hapa nilipo njaa haiumii hata.Aunt ukapumzike Sasa [emoji3]
Mimi hata hizo pm za wadada feki sizipati...nyie mnafanyaje lakini
Jomoneeee achaa niserekee na huu uzi, haya mambo ya ubuyuu ndo napendagaa mie.Yani haka kamevalia njuga kweli huu uzi