Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Asili ya mwanaume ni mtu mkakamavu kwa lugha ya mtaani mtu mgumu

Kawaida ya mwanaume hata uchezaji wake lazima uwe wa tofauti na wa kike lakini miaka ya sasa baadhi ya wanaume wamekuwa walaini sana kama dada zao inasikitisha sana

Malezi kwa watoto wa kiume yameporomoka sana

Baadhi ya vijana wa kiume wakicheza Taarabu ya vidole juu
 

Attachments

  • AQNJUUrmtDpNZnEsj2k1r0WKJWTCdm-qfzedS98c0yge92OCtQsaDLYFxoTB-OD8lKPC3T_zPxgqKaNbXZTJvL2D.mp4
    20.3 MB
Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Asili ya mwanaume ni mtu mkakamavu kwa lugha ya mtaani mtu mgumu

Kawaida ya mwanaume hata uchezaji wake lazima uwe wa tofauti na wa kike lakini miaka ya sasa baadhi ya wanaume wamekuwa walaini sana kama dada zao inasikitisha sana

Malezi kwa watoto wa kiume yameporomoka sana

Baadhi ya vijana wa kiume wakicheza Taarabu ya vidole juu
Nadhani usingejumuisha wanaume wote wenye based on single video
 
Wakati ndiyo huu inabidi tukipiganie kizazi hiki ili kisifikie pabaya, hii inaanzia kwenye familia pia hata ikiwa ni mtoto wa mwenzako mpiganie usiruhusu apotee
 
Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Asili ya mwanaume ni mtu mkakamavu kwa lugha ya mtaani mtu mgumu

Kawaida ya mwanaume hata uchezaji wake lazima uwe wa tofauti na wa kike lakini miaka ya sasa baadhi ya wanaume wamekuwa walaini sana kama dada zao inasikitisha sana

Malezi kwa watoto wa kiume yameporomoka sana

Baadhi ya vijana wa kiume wakicheza Taarabu ya vidole juu
Wengine wako mpakani mwa Kenya na Tanzania kila siku wanalalamika kupigwa na wake zao
 
Kuna dogo mmoja shoga naona anajitia umaarufu nae nimemuona hapo, ila nimegundua kitu
Media zetu zinawapa promo sana hawa machoko wanaamua yupi awe maarufu yupi asubiri kwanza ,

Yule Agrey wamempandisha wee kastuka wamemkimbia nao ushenzi mtupu
 
Kuna dogo mmoja shoga naona anajitia umaarufu nae nimemuona hapo, ila nimegundua kitu
Media zetu zinawapa promo sana hawa machoko wanaamua yupi awe maarufu yupi asubiri kwanza ,

Yule Agrey wamempandisha wee kastuka wamemkimbia nao ushenzi mtupu
Hatari sana wakiwasaidia wa kike kazi zao wao nani atafanya zao
 
Shida ni Malezi toka ngazi ya family aisee tumezidi kuendekeza na kudekeza watoto.
Hivi kweli kwenye mji wako una vijana wa darasa la saba na kuendelea house girl na house boy wa kazi gani.
Watoto tunawalemaza unakuta kijana ndani ya nyumba hafui, hafanyi usafi chumbani kwake wala mazingira ya nyumbani na wazazi tunarelax na kuona ndio mtindo bora wamaisha.
Sio siri tunatengeneza mabomu.
 
Shida ni Malezi toka ngazi ya family aisee tumezidi kuendekeza na kudekeza watoto.
Hivi kweli kwenye mji wako una vijana wa darasa la saba na kuendelea house girl na house boy wa kazi gani.
Watoto tunawalemaza unakuta kijana ndani ya nyumba hafui, hafanyi usafi chumbani kwake wala mazingira ya nyumbani na wazazi tunarelax na kuona ndio mtindo bora wamaisha.
Sio siri tunatengeneza mabomu.

Ingekuwa hivyo kule Ferry kusingekuwa na machoko
 
Shida ni Malezi toka ngazi ya family aisee tumezidi kuendekeza na kudekeza watoto.
Hivi kweli kwenye mji wako una vijana wa darasa la saba na kuendelea house girl na house boy wa kazi gani.
Watoto tunawalemaza unakuta kijana ndani ya nyumba hafui, hafanyi usafi chumbani kwake wala mazingira ya nyumbani na wazazi tunarelax na kuona ndio mtindo bora wamaisha.
Sio siri tunatengeneza mabomu.
Nikweli mkuu
 
Baadhi ya Wanaume wa miaka hii wamekuwa walaini sana sijui huko mbeleni tutakuwa na kizazi cha aina gani

Asili ya mwanaume ni mtu mkakamavu kwa lugha ya mtaani mtu mgumu

Kawaida ya mwanaume hata uchezaji wake lazima uwe wa tofauti na wa kike lakini miaka ya sasa baadhi ya wanaume wamekuwa walaini sana kama dada zao inasikitisha sana

Malezi kwa watoto wa kiume yameporomoka sana

Baadhi ya vijana wa kiume wakicheza Taarabu ya vidole juu
Ma bwabwa kama yote
 
Back
Top Bottom