Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 583
- 590
Juzi kati mke wangu alikuwa anapitia msongo wa mawazo sana, anasoma ukubwani kwahiyo kubalance biashara na kisomo kinamramba, kama wiki mbili anadeal na kesi ya wizi dukani kwake na mitihani. Wizi ilikuwa kiasi kidogo ila mkinga kapambana mwizi kapatikana kisha karudi darasani. me nilimuacha apambane na huyo mwizi mwenyewe ili nione kama ataiacha au ataihandle yani nimefurahi kuona kaweza kusimamia mpaka mwizi kapatikana kawekwa ndani kesi imeanza amelipwa hela yake afu kaingia kwenye mitihani.
Kama surprise nikampangie aende zanzibar baada ya mitihani, siku ikafika wakaenda yeye mdogo wake na watoto wakatoka apo nikaenda kuwakuta serengeti tukawa pamoja tukarudi wote. Yani alifurahi kupindukia nikamuliza mama vipi mbona kama huamini . Akaniambia alivokuwa anapambana na kesi marafiki zake wote walimwambia aniache, yani nina kesi nina mitihani na mme yupo tu akufanyii lolote lazima ana demu nje doh niliumia sana
. Yani wale marafiki zake walikuwa wanafurahi kumwona anateseka wakidhani namfanyia maksudi kumuumiza walikuwa hadi wanakuja sehemu napofanya kazi wananipiga picha kisa tu nimetaka mwanamke ajifunze kuwa mgumu katika biashara. Wakamjaza chungu ya maneno sasa kumpeleka hizo sehemu 2 tu wanaaanza ooh anajisafisha. Hivi kwanini wanawake hawapendani?
Kama surprise nikampangie aende zanzibar baada ya mitihani, siku ikafika wakaenda yeye mdogo wake na watoto wakatoka apo nikaenda kuwakuta serengeti tukawa pamoja tukarudi wote. Yani alifurahi kupindukia nikamuliza mama vipi mbona kama huamini . Akaniambia alivokuwa anapambana na kesi marafiki zake wote walimwambia aniache, yani nina kesi nina mitihani na mme yupo tu akufanyii lolote lazima ana demu nje doh niliumia sana
. Yani wale marafiki zake walikuwa wanafurahi kumwona anateseka wakidhani namfanyia maksudi kumuumiza walikuwa hadi wanakuja sehemu napofanya kazi wananipiga picha kisa tu nimetaka mwanamke ajifunze kuwa mgumu katika biashara. Wakamjaza chungu ya maneno sasa kumpeleka hizo sehemu 2 tu wanaaanza ooh anajisafisha. Hivi kwanini wanawake hawapendani?