Baadhi ya wanawake wana roho mbaya sana

Baadhi ya wanawake wana roho mbaya sana

Juzi kati mke wangu alikuwa anapitia msongo wa mawazo sana, anasoma ukubwani kwahiyo kubalance biashara na kisomo kinamramba, kama wiki mbili anadeal na kesi ya wizi dukani kwake na mitihani. Wizi ilikuwa kiasi kidogo ila mkinga kapambana mwizi kapatikana kisha karudi darasani. me nilimuacha apambane na huyo mwizi mwenyewe ili nione kama ataiacha au ataihandle yani nimefurahi kuona kaweza kusimamia mpaka mwizi kapatikana kawekwa ndani kesi imeanza amelipwa hela yake afu kaingia kwenye mitihani.

Kama surprise nikampangie aende zanzibar baada ya mitihani, siku ikafika wakaenda yeye mdogo wake na watoto wakatoka apo nikaenda kuwakuta serengeti tukawa pamoja tukarudi wote. Yani alifurahi kupindukia nikamuliza mama vipi mbona kama huamini . Akaniambia alivokuwa anapambana na kesi marafiki zake wote walimwambia aniache, yani nina kesi nina mitihani na mme yupo tu akufanyii lolote lazima ana demu nje doh niliumia sana
. Yani wale marafiki zake walikuwa wanafurahi kumwona anateseka wakidhani namfanyia maksudi kumuumiza walikuwa hadi wanakuja sehemu napofanya kazi wananipiga picha kisa tu nimetaka mwanamke ajifunze kuwa mgumu katika biashara. Wakamjaza chungu ya maneno sasa kumpeleka hizo sehemu 2 tu wanaaanza ooh anajisafisha. Hivi kwanini wanawake hawapendani?
Mshukuru Mungu hakufanya namna marafiki zake wanataka, wengi huwa hawatoboi kwa marafiki, halaf akisha kuacha marafiki ndio wataanza kumnyooshea vidole. Mtunze, muwekenmbali na hao watu
 
Juzi kati mke wangu alikuwa anapitia msongo wa mawazo sana, anasoma ukubwani kwahiyo kubalance biashara na kisomo kinamramba, kama wiki mbili anadeal na kesi ya wizi dukani kwake na mitihani. Wizi ilikuwa kiasi kidogo ila mkinga kapambana mwizi kapatikana kisha karudi darasani. me nilimuacha apambane na huyo mwizi mwenyewe ili nione kama ataiacha au ataihandle yani nimefurahi kuona kaweza kusimamia mpaka mwizi kapatikana kawekwa ndani kesi imeanza amelipwa hela yake afu kaingia kwenye mitihani.

Kama surprise nikampangie aende zanzibar baada ya mitihani, siku ikafika wakaenda yeye mdogo wake na watoto wakatoka apo nikaenda kuwakuta serengeti tukawa pamoja tukarudi wote. Yani alifurahi kupindukia nikamuliza mama vipi mbona kama huamini . Akaniambia alivokuwa anapambana na kesi marafiki zake wote walimwambia aniache, yani nina kesi nina mitihani na mme yupo tu akufanyii lolote lazima ana demu nje doh niliumia sana
. Yani wale marafiki zake walikuwa wanafurahi kumwona anateseka wakidhani namfanyia maksudi kumuumiza walikuwa hadi wanakuja sehemu napofanya kazi wananipiga picha kisa tu nimetaka mwanamke ajifunze kuwa mgumu katika biashara. Wakamjaza chungu ya maneno sasa kumpeleka hizo sehemu 2 tu wanaaanza ooh anajisafisha. Hivi kwanini wanawake hawapendani?
Ndio muelewe kuwa ndoa ni ya wawili tuu usiruhusu marafiki wala ndugu kutia neno
 
Ulimkosea sana. Mwanamke hapimwi kwenye mazingira ya namna hiyo. What if angeharibu kwenye masomo yake kwa sababu ya kutoona msaada ungekuja kumsaidia kurekebisha masomo yake wewe?

Wakati wa matatizo ndio wakati wa msaada wako kuonekana ukizingatia yeye ni mkeo. Sasa unasubiria uje um suprise na safari za zanzibar sijui serengeti inamsaidia nini kwenye mambo aliyoyapitia.
Ni kweli nilikosea. Kwa namna walivyomwongelesha niliona thabiti aliwaamini wote na alikuwa anataka kufanya maamuzi magumu. Nilitamani sana aweze kusimamia shoo mwenyewe ila kuna njia bora zaidi za kufanya kuliko nilivyofanya. Ni Mungu tu aliniongoza niseme nae kwa undani baada ya tukio. Sishauri mtu yeyote kufanya vile nilivyofanya kwa sababu watu wana roho mbaya sana na unaweza kuwapa mwanya watu kumjaza ujinga
 
Usimjaribu mkeo! Unajua nani kamsaidia huko polisi sijui mahakamani? Unajua kampataje huyo mwizi? Unajua kwanini marafiki wametafute uthibitisho kwamba una mwingine?

Mkeo katoka nje ya ndoa. Umeshaliwa hapo eboo mwanaume mwenzako ndo kafanyia kazi hio shughuli hadi kalipwa shauri lako. Marafiki wamemtafutia uthibitisho ili asijisikie vibaya. Usikute hao hao ndo wamemtafutia mtu wa kukusaidia sababu we umekaa tu. Sikiliza hadithi ya ‘dunia haina huruma’ ya bahati bukuku. Wanaume, msiwajaribu wake zenu. Akipata shida mpambanie ndie mke wako huyoooo. Ubinafsi wako utaruhusu wenzako wamsaidie wampore akidhani wanamjali kuliko wewe. Kuwa makini. Usimpe mtu upenyo wowote kumhangaikia mkeo na wewe upo
 
Usimjaribu mkeo! Unajua nani kamsaidia huko polisi sijui mahakamani? Unajua kampataje huyo mwizi? Unajua kwanini marafiki wametafute uthibitisho kwamba una mwingine?

Mkeo katoka nje ya ndoa. Umeshaliwa hapo eboo mwanaume mwenzako ndo kafanyia kazi hio shughuli hadi kalipwa shauri lako. Marafiki wamemtafutia uthibitisho ili asijisikie vibaya. Usikute hao hao ndo wamemtafutia mtu wa kukusaidia sababu we umekaa tu. Sikiliza hadithi ya ‘dunia haina huruma’ ya bahati bukuku. Wanaume, msiwajaribu wake zenu. Akipata shida mpambanie ndie mke wako huyoooo. Ubinafsi wako utaruhusu wenzako wamsaidie wampore akidhani wanamjali kuliko wewe. Kuwa makini. Usimpe mtu upenyo wowote kumhangaikia mkeo na wewe upo
Duh atiii
 
Nyie nao mmeruhusu mahusiano yenu kujulikana kwa hao marafiki yani mnajianika km bango la matangazo lazima kila mtu asemw anachojisikia, mie kwenye circle yangu sijamuona wa kuniletea hizo shobo hadi amtumie picha Mr 😅😅 kwanza itajulikana walianzaje mpk kutumiana picha zangu nk
Thus a woman I need,,
A woman who can preserve our privacy indeed. Kapeace I feel you.
 
Back
Top Bottom