Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Turudie mara ngapi? Ni Dhaifu!!!!!!!, tumerudi enzi za Msioga za Mr. Dhaifu!
Afadhali sasa, hali ile ilitisha kila agizo lilikua ni sheria na ndiyo Katiba. Tulikua tunaelekea kubaya sana. Leo ukienda posta hakuna utaratibu vibanda vimetapakaa kila mahali, na kwa sabau ya uholela, ilidhaniwa ndiyo utaratibu sahihi wa kuendesha nchi, kiuhalisia tulikosa ustaarab, na nafikiri itatumika nguvu kubwa kuweza kuwashawishi wamachinga ili waelewe kuwa hawakua sahihi, kila watakachoambiwa wataona wanaonewa, kumbe ni utaratibu mbovu tu. So kila awam na mambo yake ambayo yanakera.
 
Wamemfanyiaaa mbayaaaa
 
Hembu soma hiyoo hicho ndio namaanisha maana wewe umeisha kula na huna.usingizi. utanifanya nichoke maana huelewi ninacjo maanisha kuyumbishwa kwa serikali na kundi la wtu wa mitandaoni kwa baadhi ya mambo ambayo ni ya kipuuzi.
Upuuzi kama wa kumkamata mtekaji ole sabaya? 😅😅😅
 
Tatizo kuna mengine ni husuda na chuki lakini.hayana maana nimekupa swala mpambazi mpaka kaitwa tbs !!

Sijui unaelewaa nacho kimaanisha au hutak tu kuelewa ili tubishane
Sasa kwa akili yako unadhani huyo dogo kaitwa tbs kwa agizo la raisi?
 
Una kichwa kigumuna umeanza kuelewa TBS waliomkamata ni kwa sababu samia anawapa priority hio timu sana kiasi kwamba kumuita mpambazi haikuwa na maana yoyote .

Na alie sababisha hayo yote ni kigogo 2014 kwa sababu mpambazi alikua ana mtetea diamond platnumz kama hujui na uelewe kwamba unabisha lakini hujui kinacho endelea toka.juzi.
 
Dah....Dogo tuliza makalio...Kule bandari washapiga makinikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Acheni mama achape kazi na akimaliza muda wake atatuletea katiba mpya ili tusije tukarejea kwenye utawala wa kishetani katika nchi hii.

Uhalifu,wizi, ubakaji wa wazi wa akina Sabaya , Utesaji ,unyanganyi ulijaa lakini ulifichwa na vyombo vya habari havikuruhusiwa kuanika wazi.
Miradi mapaka ya vyoo vya mashimo ilikua inarushwa hewani kwa gharama ya mamilioni ya walipa kodi.
Acheni Ukabiwa wenu mlipanga kuigawa nchi na mmeshindwa.

Mungu alisikia kilio cha mayatima waliobaki na wajane waliokua wamesababishiwa na watu katili kama nyie msiojali utu na uumbaji wa mwanadamu.
Watu walikua wanajifanya miungu watu na kupora Mali za watu.
Hivi unafikiri utajiri wa wafanyabiashara unapatikaba kirahisi kama huo wa kwenu wa miaka mitano mnakua mabilioneo kupitia ofisi za umma na madaraka ya kukwapua Mali za watu!!

Acheni mama afanye kazi yake. Au mnataka mturudishe enzi zile Kikwete amejenga mabarabara Vyuo , Nyumba za wanajeshi nchi nzima, akanunua mandege ya jeshi ya kisisa, vifaru n.k pamoja na hujuma za Kagame na timu yake inayojifanya imejirejesha kwa mgongo wa awamu ya tano lakini JK alivumilia kutukanwa mana anajua ni wajibu wake kuleta maendeleo sio hisani mana ni pesa za umma.

Mama amepewa hiyo nafasi na Mwanyezi Mungu mwenyewe ili awatendee haki watanzania.
Binadamu hatukuzaliwa na Madaraja wala mandege hayo ni mambo ya Mabeberu waliyaleta hivyo hatuhitaji MTU anayetumia mtutu wa bunduki kutuletea vitu vya wakoloni na mabeberu waliovianzisha. Treni ,mandege ni vitu vya huko ulaya kwa ngozi nyeupe tutafileta kwa hekima na upendo kwa watu wetu na sio kuuana kwa sababu ya madaraja.
Kodi zitalipwa kwa haki. Na watakaojaribu kutikisa kiberiti kwa kutuletea habari za mwendazake tutadili naye kweli kweli.

Kigogo ataendelea kuikosoa serikali mana ndivyo alivyoamua na hatutapoteza muda kumzuia wakati kuna mengi anayoyasema ni ya kweli na hakuanza kuyasema Leo na hayakuanza kufanywa leo.

Wa awamu ya tano amepita na sasa ni awamu nyingine bora zaidi.

Hatuwezi kubakia na simu za mezani wakati ni awamu ya smartphone. Kuendelea kusifia simu ya mezani ni ujuha.

Mama ameanza vizuri sana na anaipeleka nchi pazuri.
Huwezi kupuuza Covid 19 wakati kuna watu wana ndugu zao huko nje na wanabiashara huko Nje . Kuna watu wanaenda kuhiji na wameshaambiwa hawataruhusiwa kwenda. Ulitaka akomalie mambo yatakayowaathiri watu. Mitandao ni sauti ya watu wenye akili kubwa waliokosa fursa ya kukalia viti vilivyotolewa kindugu ,kikabila na kiitikadi. Ulitaka wasemee wapi zaidi ya kwenye mitandao.
Kwa ni mama apuuze mitandao wakati mitandao anaiona ina mijadala mipana na inafichua maovu kwa ushahidi wa wazi.

Mama ataendelea kuwapiga chini wale wasioendana na kauli mbiu yake bila kumwogopa MTU.
Nguvu yenu ikikua kwa MTU na sasa inaondolewa na MTU hivyo kuwani wapole tu. Waliolia sasa wanacheka na waliocheka kwa dhulma sasa wanalia kwa haki.

Hatutaruhusu watu wa aina ya Sabaya kukalia ofisi za umma.
Mama ameonyesha njia na Mungu atamlinda mana ameamua kusimama kwenye haki.

Uchaguzi wa marudio umefanyika kule Kigoma hatukusikia MTU akikatwa mapanga . Aliyeshinda akatangazwa kwa haki. Hakuna aliyenyanganywa Fomu wala kutekwa. Sasa kwa nini tudimpende Malkia wetu wa Afrika Mama Samia.

Mama Samia tunampenda sana. Na tunasubiri awamu yake ikikaribia kuisha tufanye maandamano makubwa ili katiba ibadilishwe atawale maisha kama Malkia wa Uingereza. Hatutaki Utawala wa kihuni tena wenye Magenge ya wahalifu na watesaji.
Chaguzi zilikua kama vita ,mtu anaenda kuchukua fomu Mkurugenzi anafunga ofisi anakimbia . Akibahatika kupata fomu wanakuja wahuni wanaotumia ofisi ,na mishahara ya umma wanawapora wagombea.
Hayo ndiyo maendeleo kweli au ni uhuni?

Huduma bora zipo na zitaendelea kuwepo na wale wanaozurotesha tunajua ni wale waliokua wamepewa kwa upendeleo na kikabila ambao wapo kila mahali nchi nzima na ndio wanaolalamika badala ya kuchapa kazi walidhani wamebinafsishiwa hii nchi kumbe kila kitu kiko mikononi mwa Mungu.

Mama Samia Hoyeeeeee!!!!
Kazi inaendelea kwa hekima na maarifa makubwa kabisa.

Waliobweteka kwa kumtegemea binadamu awakingie kifua kwa kuumiza wenzao sasa basi.
 
Yatima baba yako na mama yako ! Huenda wewe ni yatima au ulikosa mirathi mbona unahasira hivyo.
Hahahahhahahaha! Nan anataka mamirathi dogo? Faiti upate zako ...mpk leo mnalia lia tu wanaume wazima .shame on u!..
 
Huyo muuza sabuni ni mpumbavu. Diamond hawezi kurisk biashara yake kwasababu ya mtu mwingine na ndio maana anajipendekeza kwa kila mwenye madaraka na pesa.

Haya sasa huyo muuza sabuni yeye kaumiza biashara yake kwa kujipendekeza kwa mtu ambaye hata hamjui.
 
Yule Champ Soap kunani tena
 
Na watu wengi wanauliza mbona tangu dhalim afyekelewe mbali na Corona matukio ya watu kutekwa na kubambikiwa kesi yamepotea kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…