Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Haya kaenda sabaya na bado nipo dawa gani.unasema iingie jlf nilicho sema na unacholilia ni vitu viwli tofauti mie.naonglea imfluence wewe unalzmsha.sabaya
Kama kuna ushahidi wa anachosema kwanini asiufanyie kazi? Wewe unachojali ni kasema nani au kama alichosema kina ukweli?
 
Lengo ni kumtetea Sabaya lakini umechelewa. Sabaya hajaanza kuanikwa Leo hapo alipo kajipeleka mwenyewe, kama unaona kaonewa au kakamatwa sababu ya maneno ya mitandaoni nenda kawe wakili maana Leo kakosa hata Wakili.
Hapana sio kumtetea sabaya tatizo la jf huwa manajibu ya kukalilishana saivi imekua kumtetea sabaya, hapo nyuma ilikia mataga na sukuma gang hamfikiliii tofautu kabisa. Jf cku hz cjui ina watu gani?
 
Soma elewa ufahamu umekosa kabisa nimesema ushauri.wa mitaondaoni asikilize lakini usiwe.kwa kiwango kikubwa kuliko fikra zake na wananchi wengine mbona uko zero.
Nami nakusapoti, ushauri wa kipumbavu kama huu wako, asiusikilize kwa kiwango kikubwa.
 
Mimi ni kijana nimesoma na kulingana na ugumu wa ajila nikaona fursa ipo kwenye ujasiriamali nikajiajili na kuajili vijana wenzangu pia ili kusogeza Maisha na kujipatia Ugali wa kila siku. Maamuzi yangu ya kuamua kusimama na Diamond PlatnumZ haikua kwaajili ya vita bali Utanzania.

Kijana amusha legea huko twitter.
 
Kwani walioko mtandaoni siyo watu, uliona video za sabaya hujaona? Kama uliona alikuwa akifanya makosa au hakuwa anafanya makosa, kama alifanya makosa nini ulitaka SSH afanye?
Wewe ungekuwa raisi uone mteule wako anateka watu, anavamia maduka na mitutu na watu wanasema mtandaoni ungemuacha kisa tu waliosema ni watu wa mtandaoni?
Hembu soma uelewe tena maana upo out of context tutabishana sana na mie sipendi tubishane nataka uelewe nataka ni impose nini ?
 
Kwa wale ambao hamjamwelewa mleta mada ni kwamba,

Twitter kuna jamaa ( Mjasiriamali ) anauza sabuni, sasa kilichotokea, baada ya purukushani kutokea Twitter kwamba wanaharakati wa Twitter wakawa wanaendesha kampeni ya kutokumpigia kura ya BET Msanii Diamond. Yeye huyo muuza sabuni ajajitokeza wazi wazi kumkingia kifua huyo msanii akidai ni uzalendo.

Kilichotokea Kigogo kaanzisha kampeni kwamba sabuni za jamaa zina kemikali za sumu, zinasababisha kansa, vile vile katuma emails mpaka TBS.

TBS wamemuita jamaa ila hawajatoa hatoma yake.



👆👆
Sasa mkuu aliyemkamata jamaa ni SSH au TBS wazee wa kukurupuka kama Dr. mwaka alivyokurupuka akaenda mfungia Dr. mwaka kisa mangekimambi ana bifu zake na diamond.
Kigogo ana movement zake flani nyingine hata mimi sizikubali, ila mleta mada siyo kweli kwamba SSH nafuata kigogo anachosema.
Angekuwa anafuata basi Biswalo asingekuwa judge, Manji asingekuwa kakamatwa na takukuru, Happy asingekuwa mbunhe, Dotto asingekuwa serikalini, tungekuwa na baraza jipya la mawaziri
 
Rais kasema yeye hakosei.
Rais kasema,in effect,kusema "rais kakosea" ni uhaini.
Alikuwa a azungumzia kuhusu wanaCCM kuwatenga wateule wake wanaotokana na vyama vingine hasa akitolea mfano wa Anna Mgwira kwamba wanaCCM walikuwa wanamtenga wakisema siyo mwenzao. Hivyo wasimbague yule wa Iringa kwasababu yeye kama Rais hajakosea kumteua.
 
Kwa wale ambao hamjamwelewa mleta mada ni kwamba,

Twitter kuna jamaa ( Mjasiriamali ) anauza sabuni, sasa kilichotokea, baada ya purukushani kutokea Twitter kwamba wanaharakati wa Twitter wakawa wanaendesha kampeni ya kutokumpigia kura ya BET Msanii Diamond. Yeye huyo muuza sabuni ajajitokeza wazi wazi kumkingia kifua huyo msanii akidai ni uzalendo.

Kilichotokea Kigogo kaanzisha kampeni kwamba sabuni za jamaa zina kemikali za sumu, zinasababisha kansa, vile vile katuma emails mpaka TBS.

TBS wamemuita jamaa ila hawajatoa hatoma yake.






[emoji115][emoji115][emoji115]

Kuharibu biashara yako kwa kutetea biashara ya mwingine.
Exaxtly mzeee nakupa 100% kwa kuelewaa maana kuna watu wamekuja na mihemko mara sabaya mara mataga mara sukuma gang

Jf inakosa watu wanao elewa habari na kukulupuka kujumuisha watu kwa majibu ya kukalili.
 
Kwa kweli mpaka hapa tilipofika hakuna professionalism katila kuendesha nchi kwa sababu zifuatazo :-

Hivi Mazeliii wa nchi amekua mtu wa kusikiliza lawama za mtandaoni na kuamua mstakabali wa nchi ?!

Hivi Mazeliii amekua mpaka aone watu wanalilia jambo fulani ndio aamue lifanyike tena mtandaoni? Yeye kama yeye hashituki ?kutoa mwelekeo kbla mambo hayawa mabovu?

Huyu Mazeliiii ni wa kupangiwa nani afungwe nani asifungwe kweli ? Anajitoa akili kama hakuwepo serikali iliyopita sijui anafanya kufurahisha nini ?

Kweli kuna mapungufu yalikuwepo lakini Raisi wa nchi kawa mwepesi kiasi cha uwezo wake kujadiliwa na mtu mtandaoni na anafata ?


Raisi anashindwa kufanya vetting kwa usahihi hiii ni dhahili apelekeshwe na wala asijione anatusikiliza ! Kama jambo dogo kama hilo hataki kuumiza kichwa kufikia mwafaka no self decisions.


Note : Wananchi wengi wao wanauza matunda, fundi simu, fundi nyumba , wanashona viatu ,machinga, wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati(wajasiriamali wadogo wadogo hawa ndio wananchi)

Kundi hapo juu lilitakiwa lipewe haki ya kusikilizwa pia kama hao wa mtandaoni wanavyopewa hio haki kwa sababu hao ndio wanaumia......kwa sababu feud kubwa ya viongozi wa ccm na vyama vya upinzani wasivishwe wananchi !! Kiasi kero zao zisisikilzwe.

Vyama vya upinzani na ccm ni tabaka la juu ambao wanatazama masilahi yao! Na sio wanachi wa kawaida? hao ndio wamekua wasemaji wao lakini ni wanajisemea wao kwa kiasi kikubwa na kujirekebishia njia zao haswa kwa haya yanayo endelea kwa sasa.

Wito wangu kwa Viongozi wakuu wa nchi huu upepo mnaochezeshwa kuanzia Raisi , TRA ,TPA, TBS mkisikia mtu mtandaoni mmekua wepesi sana kushtuka bila kuchunguza vizuri kwa sababu ya kuogopa tunawaomba muwe wajasiri na wachambuzi bila kuogopa mkuu atawaambia nini ? Msiende kwa upepo !.

Nimesikitishwa sana na kitendo cha kigogo 2014 kumpakazia kijana huko twitter anaitwa MPAMBAZI kwamba anasabuni za kemikali na kweli serikali imeshituka sijui huu uoga mmetoa wapi ?

Kijana alikua anamtetea diamond platnumz kwa sababu kawa tofauti na maamuzi ya kigogo 2014 wametuma taarifa mpaka kijana kaitwa " sifa hamu kama watamdhuru "

Ila naona jinsi serikali ilivyochezeshwa ikacheza na team mtandao kuzidi kipimo cha kawaida na sasa wamekua na kichwa kikubwa.


HATUZINDUI MIRADI IMESIMAMA.

WIZI NA UVAMIZI UNAZIDI.

AGENDA YA 2020/2021 to 2024/2025 YA TANZANIA HAONGELEWI.

KILA SIKU COVID 19 INAJADILIWA KUZIDI CHANGAMOTO ZINGINE WAKATI BALANCE INATAKIWA KUWEPO KWA SEKTA ZOTE 24.

AJALI BARABARANI ZIMEANZA KUREJEA TARATIBU HILI JAMBO HALINA TAMKO.

ASKARI WANAUWANA NA KUKAMATANA.

HUDUMA ZINATOKA TARATIBU NA KUSUASUA.

WATU HAWAELEWI MPANGO WA DODOMA UNAENDELEAJE ,? MAANA NI KAMA UMESIMAMA ?

ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI MBONA IMESIMAMA HATUONI UTEKELEZAJI WAKE , HATUONI MABADILIKO YALIYO ORODHESHWA HATUJUI TUPO WAPI TUNAELEKEA WAPI ?


WITO: Mama tunakuomba endelea kufatilia miradi kuna pesa zipo kule watu hawalipwi, miradi imesimama, na pesa inaliwa hapo dar es salaam JPM alitaka kuzindua miradi, hembu ikamilishe uzindue tazama progress,.

Punguza kutazama watu wa mtandaoni focus na ilani ya chama bado mambo hayajatimia na imebaki miaka minne.

Ajira millioni 8 zipo mkonono mwako.
SGR bado ....
Umeme wa nyerere bado...
Mishahara ipande hilo lipo mkononi mwako.

Mama nchi imepoa tukimbilie lengo letu.


Kazi iendeleee lakini sio kizembe.

Nawasilisha.
Umejitahid mwenyewe eenh? Una uchungu wa sabaya nini?
 
Sasa mkuu aliyemkamata jamaa ni SSH au TBS wazee wa kukurupuka kama Dr. mwaka alivyokurupuka akaenda mfungia Dr. mwaka kisa mangekimambi ana bifu zake na diamond.
Kigogo ana movement zake flani nyingine hata mimi sizikubali, ila mleta mada siyo kweli kwamba SSH nafuata kigogo anachosema.
Angekuwa anafuata basi Biswalo asingekuwa judge, Manji asingekuwa kakamatwa na takukuru, Happy asingekuwa mbunhe, Dotto asingekuwa serikalini, tungekuwa na baraza jipya la mawaziri
Yeye mleta mada kwa akili yake ilivyomtuma anaona kama SSH ndio kaagiza TBS wakague sabuni za jamaa.

Na kweli sabuni za jamaa hazina TBS kwasababu ni biashara changana ni locally made.
 
Wewe ndiyo unatazama jambo kalisema nani, mimi natazama je alichosema ni kweli. Unakuwa kama wabunge wa ccm wapinzani walipokuwa wakitoa hata jambo lina hoja kisa wapinzani wanalikataa, ndiyo maana juzi nimemskia ndungai anashangaa sheria ilipitaje wakati alikuwa bungeni na heche aliipinga wakamzomea.
Nakupa nyingome. Kigog angekuwa na influence na maamuzi ya SSH basi hata manji asingekamatwa na takukuru.
Sabaya ana makosa yake na hayawezi kupita acha mahakama ifanye kazi yake
Kwa wale ambao hamjamwelewa mleta mada ni kwamba,

Twitter kuna jamaa ( Mjasiriamali ) anauza sabuni, sasa kilichotokea, baada ya purukushani kutokea Twitter kwamba wanaharakati wa Twitter wakawa wanaendesha kampeni ya kutokumpigia kura ya BET Msanii Diamond. Yeye huyo muuza sabuni ajajitokeza wazi wazi kumkingia kifua huyo msanii akidai ni uzalendo.

Kilichotokea Kigogo kaanzisha kampeni kwamba sabuni za jamaa zina kemikali za sumu, zinasababisha kansa, vile vile katuma emails mpaka TBS.

TBS wamemuita jamaa ila hawajatoa hatoma yake.






[emoji115][emoji115][emoji115]

Kuharibu biashara yako kwa kutetea biashara ya mwingine.
Hembu soma hiyoo hicho ndio namaanisha maana wewe umeisha kula na huna.usingizi. utanifanya nichoke maana huelewi ninacjo maanisha kuyumbishwa kwa serikali na kundi la wtu wa mitandaoni kwa baadhi ya mambo ambayo ni ya kipuuzi.
 
Bandiko bora la mwaka 🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana kiongozi, hii nchi sijui inaelekea wapi hakuna jambo la maana lililofanyika kipindi cha hawamu ya sita, miradi ndio imesimama na rais kawa ni mtu wa mitandaoni, mustakabali wa taifa hatuufahamu aseeee.
 
Unaonesha kuna kitu cha maana ulitaka kusema ila kwa mbali naona ni mfuasi mwema wa jiwe,

Ni kweli kuna shida lakini vumilia kipindi cha jiwe zilikuwa nyingi hazikuanikwa wazi tu.
These people are confused bro 🤣😂🤣😂
 
Kama kuna ushahidi wa anachosema kwanini asiufanyie kazi? Wewe unachojali ni kasema nani au kama alichosema kina ukweli?
Tatizo kuna mengine ni husuda na chuki lakini.hayana maana nimekupa swala mpambazi mpaka kaitwa tbs !!

Sijui unaelewaa nacho kimaanisha au hutak tu kuelewa ili tubishane
 
Sukuma gang mtateseka sana
Kwa kweli mpaka hapa tilipofika hakuna professionalism katila kuendesha nchi kwa sababu zifuatazo :-

Hivi Mazeliii wa nchi amekua mtu wa kusikiliza lawama za mtandaoni na kuamua mstakabali wa nchi ?!

Hivi Mazeliii amekua mpaka aone watu wanalilia jambo fulani ndio aamue lifanyike tena mtandaoni? Yeye kama yeye hashituki ?kutoa mwelekeo kbla mambo hayawa mabovu?

Huyu Mazeliiii ni wa kupangiwa nani afungwe nani asifungwe kweli ? Anajitoa akili kama hakuwepo serikali iliyopita sijui anafanya kufurahisha nini ?

Kweli kuna mapungufu yalikuwepo lakini Raisi wa nchi kawa mwepesi kiasi cha uwezo wake kujadiliwa na mtu mtandaoni na anafata ?


Raisi anashindwa kufanya vetting kwa usahihi hiii ni dhahili apelekeshwe na wala asijione anatusikiliza ! Kama jambo dogo kama hilo hataki kuumiza kichwa kufikia mwafaka no self decisions.


Note : Wananchi wengi wao wanauza matunda, fundi simu, fundi nyumba , wanashona viatu ,machinga, wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati(wajasiriamali wadogo wadogo hawa ndio wananchi)

Kundi hapo juu lilitakiwa lipewe haki ya kusikilizwa pia kama hao wa mtandaoni wanavyopewa hio haki kwa sababu hao ndio wanaumia......kwa sababu feud kubwa ya viongozi wa ccm na vyama vya upinzani wasivishwe wananchi !! Kiasi kero zao zisisikilzwe.

Vyama vya upinzani na ccm ni tabaka la juu ambao wanatazama masilahi yao! Na sio wanachi wa kawaida? hao ndio wamekua wasemaji wao lakini ni wanajisemea wao kwa kiasi kikubwa na kujirekebishia njia zao haswa kwa haya yanayo endelea kwa sasa.

Wito wangu kwa Viongozi wakuu wa nchi huu upepo mnaochezeshwa kuanzia Raisi , TRA ,TPA, TBS mkisikia mtu mtandaoni mmekua wepesi sana kushtuka bila kuchunguza vizuri kwa sababu ya kuogopa tunawaomba muwe wajasiri na wachambuzi bila kuogopa mkuu atawaambia nini ? Msiende kwa upepo !.

Nimesikitishwa sana na kitendo cha kigogo 2014 kumpakazia kijana huko twitter anaitwa MPAMBAZI kwamba anasabuni za kemikali na kweli serikali imeshituka sijui huu uoga mmetoa wapi ?

Kijana alikua anamtetea diamond platnumz kwa sababu kawa tofauti na maamuzi ya kigogo 2014 wametuma taarifa mpaka kijana kaitwa " sifa hamu kama watamdhuru "

Ila naona jinsi serikali ilivyochezeshwa ikacheza na team mtandao kuzidi kipimo cha kawaida na sasa wamekua na kichwa kikubwa.


HATUZINDUI MIRADI IMESIMAMA.

WIZI NA UVAMIZI UNAZIDI.

AGENDA YA 2020/2021 to 2024/2025 YA TANZANIA HAONGELEWI.

KILA SIKU COVID 19 INAJADILIWA KUZIDI CHANGAMOTO ZINGINE WAKATI BALANCE INATAKIWA KUWEPO KWA SEKTA ZOTE 24.

AJALI BARABARANI ZIMEANZA KUREJEA TARATIBU HILI JAMBO HALINA TAMKO.

ASKARI WANAUWANA NA KUKAMATANA.

HUDUMA ZINATOKA TARATIBU NA KUSUASUA.

WATU HAWAELEWI MPANGO WA DODOMA UNAENDELEAJE ,? MAANA NI KAMA UMESIMAMA ?

ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI MBONA IMESIMAMA HATUONI UTEKELEZAJI WAKE , HATUONI MABADILIKO YALIYO ORODHESHWA HATUJUI TUPO WAPI TUNAELEKEA WAPI ?


WITO: Mama tunakuomba endelea kufatilia miradi kuna pesa zipo kule watu hawalipwi, miradi imesimama, na pesa inaliwa hapo dar es salaam JPM alitaka kuzindua miradi, hembu ikamilishe uzindue tazama progress,.

Punguza kutazama watu wa mtandaoni focus na ilani ya chama bado mambo hayajatimia na imebaki miaka minne.

Ajira millioni 8 zipo mkonono mwako.
SGR bado ....
Umeme wa nyerere bado...
Mishahara ipande hilo lipo mkononi mwako.

Mama nchi imepoa tukimbilie lengo letu.


Kazi iendeleee lakini sio kizembe.

Nawasilisha.
 
Yeye mleta mada kwa akili yake ilivyomtuma anaona kama SSH ndio kaagiza TBS wakague sabuni za jamaa.

Na kweli sabuni za jamaa hazina TBS kwasababu ni biashara changana ni locally made.
TBS wazinguaji tu ukiingia kwenye 18 zao kama wewe ni mjasiriamali huchomoki yani kuna muda inabidi uuze vitu under the hood mpaka uprocess kila kitu.
Wakikuibukia wanachukua had machine zako.
Hao TBS watakuwa wamekurupuka tu au wamepata jamaa hana makaratasi maskini kumtetea mond kumemponza.
SSH hamsikilizi kigogo kwanza anamtukana kwa kila kitu anachofanya. Huoni anavyomshambulia zitto kwa kumsifu raisi.
 
Back
Top Bottom