Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Mzee kichwa chako kibovu na wewe nimesema isisikilize pke yake mitandaoni ila iwape nafasi na wengine hlf ikiwapa nafasi wa mitandaoni isiwe kwa ukubwa kama kwa sasa kila kitu kikitokea mtandaoni mpaka bungeni kinafika.

Wakati kuna maisha mengine ya wnanchi wa kawaida wanatakiwa kutatuliwa matatizo yao.


Nahisi darasani ulikia huelewi maswali kwa kusoma kwako haraka haraka au kipengele cha ufahamu hukusoma la saba na kuifanunua habari
Kwanl serikali inachukua kila maoni ya mtandaoni? Na hizo hatua ilizochukua ni kuwa imeshauriwa tu kutoka mtandaoni hamna sehemu nyingine?
 
Mzee Baba dunia imehama na inakwenda kwa kasi siku hizi hamna muda wa kukaa kwenye mikutano kila siku kusikiliza kero mambo ni humu humu na tunao to a maoni humu ndio wananchi kwenye upeo angalau.
Sio wote wanajua mambo ya mtandaooo na kuna watu hawapati hata muda wa kuwasha bando wao ni kazi na radio.
 
Tupate mara ngapi tabu si tupo humu humu ! Kwa hiyo tuwaze tofautu hata kama kun mambo yalikua sawa ila kwa sasa yanapwaya
Yapi yalikuwa sawa, ya sabaya kuteka watu kuvamia maduka ya wafanyabiashara na mitutu bila kuchukuliwa hatua 😅😅😅 hivi mmerogwa au?
 
Kwa kweli mpaka hapa tilipofika hakuna professionalism katila kuendesha nchi kwa sababu zifuatazo :-

Hivi Mazeliii wa nchi amekua mtu wa kusikiliza lawama za mtandaoni na kuamua mstakabali wa nchi ?!

Hivi Mazeliii amekua mpaka aone watu wanalilia jambo fulani ndio aamue lifanyike tena mtandaoni? Yeye kama yeye hashituki ?kutoa mwelekeo kbla mambo hayawa mabovu?

Huyu Mazeliiii ni wa kupangiwa nani afungwe nani asifungwe kweli ? Anajitoa akili kama hakuwepo serikali iliyopita sijui anafanya kufurahisha nini ?

Kweli kuna mapungufu yalikuwepo lakini Raisi wa nchi kawa mwepesi kiasi cha uwezo wake kujadiliwa na mtu mtandaoni na anafata ?


Raisi anashindwa kufanya vetting kwa usahihi hiii ni dhahili apelekeshwe na wala asijione anatusikiliza ! Kama jambo dogo kama hilo hataki kuumiza kichwa kufikia mwafaka no self decisions.


Note : Wananchi wengi wao wanauza matunda, fundi simu, fundi nyumba , wanashona viatu ,machinga, wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati(wajasiriamali wadogo wadogo hawa ndio wananchi)

Kundi hapo juu lilitakiwa lipewe haki ya kusikilizwa pia kama hao wa mtandaoni wanavyopewa hio haki kwa sababu hao ndio wanaumia......kwa sababu feud kubwa ya viongozi wa ccm na vyama vya upinzani wasivishwe wananchi !! Kiasi kero zao zisisikilzwe.

Vyama vya upinzani na ccm ni tabaka la juu ambao wanatazama masilahi yao! Na sio wanachi wa kawaida? hao ndio wamekua wasemaji wao lakini ni wanajisemea wao kwa kiasi kikubwa na kujirekebishia njia zao haswa kwa haya yanayo endelea kwa sasa.

Wito wangu kwa Viongozi wakuu wa nchi huu upepo mnaochezeshwa kuanzia Raisi , TRA ,TPA, TBS mkisikia mtu mtandaoni mmekua wepesi sana kushtuka bila kuchunguza vizuri kwa sababu ya kuogopa tunawaomba muwe wajasiri na wachambuzi bila kuogopa mkuu atawaambia nini ? Msiende kwa upepo !.

Nimesikitishwa sana na kitendo cha kigogo 2014 kumpakazia kijana huko twitter anaitwa MPAMBAZI kwamba anasabuni za kemikali na kweli serikali imeshituka sijui huu uoga mmetoa wapi ?

Kijana alikua anamtetea diamond platnumz kwa sababu kawa tofauti na maamuzi ya kigogo 2014 wametuma taarifa mpaka kijana kaitwa " sifa hamu kama watamdhuru "

Ila naona jinsi serikali ilivyochezeshwa ikacheza na team mtandao kuzidi kipimo cha kawaida na sasa wamekua na kichwa kikubwa.


HATUZINDUI MIRADI IMESIMAMA.

WIZI NA UVAMIZI UNAZIDI.

AGENDA YA 2020/2021 to 2024/2025 YA TANZANIA HAONGELEWI.

KILA SIKU COVID 19 INAJADILIWA KUZIDI CHANGAMOTO ZINGINE WAKATI BALANCE INATAKIWA KUWEPO KWA SEKTA ZOTE 24.

AJALI BARABARANI ZIMEANZA KUREJEA TARATIBU HILI JAMBO HALINA TAMKO.

ASKARI WANAUWANA NA KUKAMATANA.

HUDUMA ZINATOKA TARATIBU NA KUSUASUA.

WATU HAWAELEWI MPANGO WA DODOMA UNAENDELEAJE ,? MAANA NI KAMA UMESIMAMA ?

ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI MBONA IMESIMAMA HATUONI UTEKELEZAJI WAKE , HATUONI MABADILIKO YALIYO ORODHESHWA HATUJUI TUPO WAPI TUNAELEKEA WAPI ?


WITO: Mama tunakuomba endelea kufatilia miradi kuna pesa zipo kule watu hawalipwi, miradi imesimama, na pesa inaliwa hapo dar es salaam JPM alitaka kuzindua miradi, hembu ikamilishe uzindue tazama progress,.

Punguza kutazama watu wa mtandaoni focus na ilani ya chama bado mambo hayajatimia na imebaki miaka minne.

Ajira millioni 8 zipo mkonono mwako.
SGR bado ....
Umeme wa nyerere bado...
Mishahara ipande hilo lipo mkononi mwako.

Mama nchi imepoa tukimbilie lengo letu.


Kazi iendeleee lakini sio kizembe.

Nawasilisha.
Paragraph ya mwisho rudia kuandika kwa small letters
 
Sabaya huyo hata video za ujambazi wake zipo hadharani, aliowadhuru wapo sasa wewe ulitaka amuache tu, hivi uwa mnafikiri kwa kutumia makalio.
Mbona hajamkamata makonda japo wanapiga kelele akamatwe? Mbona hajamkamata kigwangala, mbona hakuvunja baraza la mawaziri?
Sabaya katenda uovu acha apelekwe mahakamani kama hana hatia ataachiwa. Au mahakama zipo kwa ajili ya watu flani tu?
Ila unafikili sabaya kaka matwa kwa lawama zilizo toka wapi mbona huna akili wewe ? Watu walio influence sabaya akamatwe unajua ni kundi la wapi?
 
Siku watanzania wakizinduka toka usingizi wa pono na wakajua gari limepotea njia wanaelekea bondeni muda hutokuwa upande wao tena leo wahuni wa mitandaoni ndo wamekuwa washauri wa kiti kikuuu
Mzarendo enzi za marehemu.
JamiiForums-1349625122.jpg
 
Huyo MPAMBAZI ni mpumbavu unaona kabisa MTU ana ushawishi na anaweza kuharibu biashara yako bado unajitia kidume kujibizana nae,
Unajibizana na MTU ambaye hana cha kupoteza,sasa DIAMOND akanunue hizi sabuni agawe na sijui atanunu kwa miaka mingapi.mambo mengine ni kukaa kimya yapite.
Wewe hii.nchi hata kama mtu anaushawishi.kwahyo mpambazi hana haki ya kutetea anachokitaka kiasi aache kwa sababu kigogo hataki na timu yake
 
Ila unafikili sabaya kaka matwa kwa lawama zilizo toka wapi mbona huna akili wewe ? Watu walio influence sabaya akamatwe unajua ni kundi la wapi?
Akili huna wewe mtu hadi video zipo anatumia gari zina plate number za UN anavamia duka tena nje ya wilaya yake akiwa na mitutu, sasa huyo mkuu wa wilaya au jambazi. Halafu uko hapa unamtetea umerogwa au nawe ulikuwa unanufaika kwa uharamia wake
 
Huyo MPAMBAZI ni mpumbavu unaona kabisa MTU ana ushawishi na anaweza kuharibu biashara yako bado unajitia kidume kujibizana nae,
Unajibizana na MTU ambaye hana cha kupoteza,sasa DIAMOND akanunue hizi sabuni agawe na sijui atanunu kwa miaka mingapi.mambo mengine ni kukaa kimya yapite.
Wewe unaweza bakiwa mkeo na ukabaki unafurahi kwa sababu umezidiwa cheo na mwenyekiti wako wa mtaa.
 
Huyo MPAMBAZI ni mpumbavu unaona kabisa MTU ana ushawishi na anaweza kuharibu biashara yako bado unajitia kidume kujibizana nae,
Unajibizana na MTU ambaye hana cha kupoteza,sasa DIAMOND akanunue hizi sabuni agawe na sijui atanunu kwa miaka mingapi.mambo mengine ni kukaa kimya yapite.
Kaingia miziki ya unknown assailant
 
Wewe hii.nchi hata kama mtu anaushawishi.kwahyo mpambazi hana haki ya kutetea anachokitaka kiasi aache kwa sababu kigogo hataki na timu yake
Unaongea pumba, kigogo angekuwa na influence basi hata baraza la mawaziri lingevunjwa, ally happy asingebaki kwenye URC, makamu raisi asingeapishwa, biswalo asingekuwa judge, na mengine mengi. Sabaya anastahili alichopata
 
Back
Top Bottom