Ufagio uliopitishwa kule kwa wale wasiojulikana umeondoka na wengi sana saa hivi wako kwenye maumivu makali huko uraiani. Mtego waliowekewa waliokuwa wanahisiwa umenasa wengi sana wakatimuliwa ndio maana unaona jamaa hapati tena za jikoni.
Naomba niishie bapo naingia kibanda umiza kwanza