MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
- Thread starter
-
- #21
Nilicholeta hapa sio theory bali ni ukweli halisi! Tofautisha ukweli halisi na theory!Huwezi kuja na theory moja tu bila kufikilia theory nyingine unapozungumzia Jambo flan, au unapotaka tatua Jambo flan
Wenda pia bwana yule kaombwa ushirikiano baada ya kuona hawezekaniki, kutokana na uwezo wake mkubwa, chin ya jua Kuna Mambo mengi, BWANA yule mtandao wake Sio wa dunia hii,ila pia kipaji na uwezo wake binafsi ukiangalia sio wa kawaida
Hawamuhitaji tena!"Bwana yulee" hana jipyaa
Huna hoja yeyote.Mkuu;
Kunijadili mimi hakuweza kuiondoa hoja yangu bali utakachokipata ni furaha ombwe ya moyo wako!
Kutupwa kwangu au la kusikusumbue bali niachie mimi!
Jikite kwenye hoja na kama unadhani hakuna hoja basi unaweza kupuuuza na kuondoka!
Mkuu ni ngum kusema ulichosema ni ukweli na sio theory wakati hakuna ushahidi wa kile unajalibu kukieleza ,Nilicholeta hapa sio theory bali ni ukweli halisi! Tofautisha ukweli halisi na theory!
Hali yao mbaya sana kwa sasa, wanabaki kuokoteza stories za vijiweni na kuzileta jfMkuu, Magu hayupo tena.
Kama mrija wako umekatwa, jifunze kula kwa jasho kama wengine.
Mimi mwenyewe namfuatilia huyo unayemsema. Haelekei kabisa kuwa kundi la watu walioshika madaraka sasa hivi.
Mfano wewe sasa hivi kwa maandiko yako, unaonekana dhahiri umetupwa nje.
Huwezi kusema sina hoja yoyote halafu hapo hapo unachangia hoja! Inaonyesha hujui unachokifanya!Huna hoja yeyote.
Soon wewe, Erythrocyte na Salary Slip mtaanza kuandika mada zinazofanana.
Maana adui yenu ni mmoja sasa.
Njaa mbaya sana.
Watu mnaangalia matumbo yenu tu.
Hata wewe utakuwa unateseka kwa sababu hunijui lakini unachangia kwenye mada yangu!Unateseka sana na mtu ambae humjui tulia kabisa.
Usichokijua kuhusu huyo mama ni kwamba ni mnafiki kama wanafiki wengine.Kwa sababu rais aliyeko siyo mshamba
Bahati nzuri mimi natumia sana internet. Natumia akili zangu timamu.Hali yao mbaya sana kwa sasa, wanabaki kuokoteza stories za vijiweni na kuzileta jf