denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hebu usitoke nje ya mada, baki kwenye mada jadili hoja iliyoko mezani, ukisema huyo "bwana yule" haonekani kuwa na mrengo wa huyu wa sasa useme how, binafsi siamini kwanini siri zilizokuwa zinatoka wakati wa awamu ya tano ghafla zisitoke awamu ya sita, kwa move ipi aliyofanya huyu aliyepo madarakani kuzuia wakati anashindwa hata kwenye teuzi tu, anateua sasahivi badae anatengua.Huna hoja yeyote.
Soon wewe, Erythrocyte na Salary Slip mtaanza kuandika mada zinazofanana.
Maana adui yenu ni mmoja sasa.
Njaa mbaya sana.
Watu mnaangalia matumbo yenu tu.