BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chanzo wapi*Kwa Mara ya kwanza serikali imelipa mshahara kwa watumishi wote wa umma kwa wakati mmoja Leo kupitia Mfumo wa GSPP Ni vema kila mtumishi aangalie salio la mshahara. Ukiona hujapata mshahara ujue sababu zifuatazo zinaweza changia; Akaunti ya benki Ina shida, majina hayafanani na akaunti, majina matatu kufanana na mtumishi mwingine wa umma au Vyeti Feki.*
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Mcheki salio zenu
Taarifa ya serikali unaifahamu?Ndugu,usije kuwa unaongea kwa furaha uliyonayo ya wallet yako kujaa?
Chanzo cha taarifa hizo ni kipi/nani?
Kumbuka kusambaza taarifa ya selikari sio sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanyakazi wanafanyakazi katika mazingira magumu sana ukizingatia wengi ni masikini na wanafamilia nyingi.Watu mna njaa duh
Baada ya kutishia kuchukua uamuzi mgumu atimae nimewekewa kilicho changu, japo nimepigiwa simu nikaambiwa nipeleke mkojo nikapimwe ka ni mchochezi[emoji24]Mimi mwenyewe salio halitoshelezi. Nitachukua maamuzi magumu masaa 24 kutoka sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
We endelea kumuita mgonjwa ohoo utakufa shauri yako wote waliomuita mgonjwa washakata.Yaani mwezi wa saba tarehe 21 watumishi wamepokea mishahara!
Najiuliza tu kama mngeamchagua yule mgonjwa si ingekuwa Oktoba?
Binadamu katika hali ya uzima hatetemeki wala kijinyea!We endelea kumuita mgonjwa ohoo utakufa shauri yako wote waliomuita mgonjwa washakata.
Hahahaaah ikipita miezi mitatu free ndio akili zitatufunguka.ndio mjipange kuna siku mtapita free miezi mitatu.
MmmmhUnaingia kwa mafungu mpaka saa 7:46.22,wote mtakua mmepata tunatest hapa to
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm bado au ndo nina cheti feki????
Hata mm bdoMm bado au ndo nina cheti feki????
Naona wewe ni mtoto wa DangoteWafanyakazi wanafanyakazi katika mazingira magumu sana ukizingatia wengi ni masikini na wanafamilia nyingi.