dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,309
God hafanyi mambo yakijinga kama hayo. Siku ukiumwa na mavi msubiri God akubebe akupeleke chooniKuna kongamano la maombi la taifa nzima...kwakwel we need God
Maamuzi kutoka Juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
God hafanyi mambo yakijinga kama hayo. Siku ukiumwa na mavi msubiri God akubebe akupeleke chooniKuna kongamano la maombi la taifa nzima...kwakwel we need God
Maamuzi kutoka Juu
May be next monthKila dakika nachungulia akaunti lakini hakuna kitu tusikate tamaa maybe tomorrow
great thinker
Kwani si niwajomba zake?Huyo jamaa Hana shida watendaji wake aliowapa dhamana ndio waomwangusha,watumia nafasi zao vibaya
Hapa wife nimemwambia nasikia wengine hawajawekewa hebu cheki kwako akawa mbishi, kaingia kucheki zero yupo chooni hali mbaya [emoji23][emoji23]Hadi muda huu kwangu hamna kitu...kuna jamaa ananidai akisikia umetoka nikimueleza haujaingia sijui kama atanielewa...
Same case! Ngoja tuwasikilizie kwanza...Mimi nimeangalia mara mbili kwa kupitia simbank lakini hakuna kitu,kama ni akaunti kufanana na payroll mimi nilipoajiriwa nilifungua akaunti iliyofanana na jina lililopo katika barua ya Ajira.Sasa iweje mshahara uuingie kwamafungu.Labda wana sababu ya kutuambia juu ya mkanganyiko huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu tunarudi kulekule. Pesa inapigwa fixed kwa siku 20 mnaambiwa mtandao watu wanavuta chao ndo mnaingiziwa upuuzi wenuJamani tuwe na Subira kumbukeni kuwa Mwezi huu Serikali imeanza kulipa mshahara kwa mfumo wa kielectronic Direct from BOT hivyo mwanzo una changamoto zake hivyo ambao hamjapata muwe na Subira mtapata tu mambo yanaenda vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waongeze nini?Punguzeni wenge
hayajamkuta,Unaandika kwa kujiamini kana kwamba una uwezo wa kuangalia salio la account zote Tz, in short had jana jioni ni wachache sana walioingiziwa salary. Bank ya karibu yangu wala haikuwa na watu kama ilivyo desturi. Mimi binafsi sikuingiziwa labda leo.
Mwenye funguo za pesa anazunguka na mjombawe kwenye ziara. Hao waliopata ni mabaki tu. Msubirini arudi ziaraWalisema kwa system ya BOT watumishi wote watakuwa wanapata mshahara kwa wakati mmoja, then what is this?
daah, anaweza kujisahau kujitawaza, embu nenda kamchek ikibidi umchambe [emoji23]Hapa wife nimemwambia nasikia wengine hawajawekewa hebu cheki kwako akawa mbishi, kaingia kucheki zero yupo chooni hali mbaya [emoji23][emoji23]