MUHEKA PANGENDE
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 294
- 177
SijakuelewaAmbao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaAmbao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
Uliingia wakauchukua BOT wenyewe, kuna jamaa kacheki kaona lakini badae mda Fulani haukuepo tena na hakutoa hata senti. Kwa waliowahi wametoa pesa zao.Hapana hiyo inshu yakusitishwa darasa ka saba ni nyingine na ishu ya baadhi ya watumishi jutoona mshahara wao paka sasa ni nyingine nahatujui tatizo ni bot au nini maana uhakiki nakila kitu vipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sijawekewa sasa sijui ni kwa nini ...Mimi nimeangalia mara mbili kwa kupitia simbank lakini hakuna kitu,kama ni akaunti kufanana na payroll mimi nilipoajiriwa nilifungua akaunti iliyofanana na jina lililopo katika barua ya Ajira.Sasa iweje mshahara uuingie kwamafungu.Labda wana sababu ya kutuambia juu ya mkanganyiko huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Real, na mi nlikuwa miongon mwa waliokosa mshahara,hii siwez sahau maisha yote..ila baada ya siku 15 wakaniwekeaMsikate tamaa ndugu ni system tu walio tumia.
Chamgamoto kama hii ilishawahi jitokeza wakati wanaanza kulipa mishahara moja kwa moja kutoka hazina.
Hans Pol
Sio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.Uliingia wakauchukua BOT wenyewe, kuna jamaa kacheki kaona lakini badae mda Fulani haukuepo tena na hakutoa hata senti. Kwa waliowahi wametoa pesa zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya Whatsapp Ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana
Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata
Swali je hapo ulipo vip?what
Hiyo ni kweli kuna watu waliona pesa na saivi hawaoni kitu,,, jaribu kufuatilia utaligundua hiloSio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.
Mishahara ya leo imeingia kwa mafungu mafungu.
Hakuna haja ya kua na wasiwasi maana taarifa zetu ndo mara ya kwanza kupelekwa BoT ndio maana pesa zinaingia kidogo kidogo kutokana na kufeed taarifa taratibu, baada ya mwezi huu mambo yatakua fresh na taarifa zote watakua nazo kwenye kumbukumbu zao hivyo watumishi wote tutaweza kulipwa at once.
kwamba mshahara uliingia halafu ukarudishwa, mkuu hili linaukweli?Uliingia wakauchukua BOT wenyewe, kuna jamaa kacheki kaona lakini badae mda Fulani haukuepo tena na hakutoa hata senti. Kwa waliowahi wametoa pesa zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
wengi wanalalamika hawajapata full kuchanganyikiwaSio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.
Mishahara ya leo imeingia kwa mafungu mafungu.
Hakuna haja ya kua na wasiwasi maana taarifa zetu ndo mara ya kwanza kupelekwa BoT ndio maana pesa zinaingia kidogo kidogo kutokana na kufeed taarifa taratibu, baada ya mwezi huu mambo yatakua fresh na taarifa zote watakua nazo kwenye kumbukumbu zao hivyo watumishi wote tutaweza kulipwa at once.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sleds eeeh, mkuu kama hujaingiziwa mshahara tatizo lako liko wazi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
poa