Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

Hapana hiyo inshu yakusitishwa darasa ka saba ni nyingine na ishu ya baadhi ya watumishi jutoona mshahara wao paka sasa ni nyingine nahatujui tatizo ni bot au nini maana uhakiki nakila kitu vipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliingia wakauchukua BOT wenyewe, kuna jamaa kacheki kaona lakini badae mda Fulani haukuepo tena na hakutoa hata senti. Kwa waliowahi wametoa pesa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeangalia mara mbili kwa kupitia simbank lakini hakuna kitu,kama ni akaunti kufanana na payroll mimi nilipoajiriwa nilifungua akaunti iliyofanana na jina lililopo katika barua ya Ajira.Sasa iweje mshahara uuingie kwamafungu.Labda wana sababu ya kutuambia juu ya mkanganyiko huu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sijawekewa sasa sijui ni kwa nini ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliingia wakauchukua BOT wenyewe, kuna jamaa kacheki kaona lakini badae mda Fulani haukuepo tena na hakutoa hata senti. Kwa waliowahi wametoa pesa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.
Mishahara ya leo imeingia kwa mafungu mafungu.
Hakuna haja ya kua na wasiwasi maana taarifa zetu ndo mara ya kwanza kupelekwa BoT ndio maana pesa zinaingia kidogo kidogo kutokana na kufeed taarifa taratibu, baada ya mwezi huu mambo yatakua fresh na taarifa zote watakua nazo kwenye kumbukumbu zao hivyo watumishi wote tutaweza kulipwa at once.
 
Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya Whatsapp Ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana


Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata

Swali je hapo ulipo vip?what


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walivosema tutaisoma namba kweli walimaanisha numerical reading. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.
Mishahara ya leo imeingia kwa mafungu mafungu.
Hakuna haja ya kua na wasiwasi maana taarifa zetu ndo mara ya kwanza kupelekwa BoT ndio maana pesa zinaingia kidogo kidogo kutokana na kufeed taarifa taratibu, baada ya mwezi huu mambo yatakua fresh na taarifa zote watakua nazo kwenye kumbukumbu zao hivyo watumishi wote tutaweza kulipwa at once.
Hiyo ni kweli kuna watu waliona pesa na saivi hawaoni kitu,,, jaribu kufuatilia utaligundua hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli mkuu, mbona kwangu mshahara umeingia na mpaka dakika hii upo? Na wenzangu wengi wamepata japo wengine bado.
Mishahara ya leo imeingia kwa mafungu mafungu.
Hakuna haja ya kua na wasiwasi maana taarifa zetu ndo mara ya kwanza kupelekwa BoT ndio maana pesa zinaingia kidogo kidogo kutokana na kufeed taarifa taratibu, baada ya mwezi huu mambo yatakua fresh na taarifa zote watakua nazo kwenye kumbukumbu zao hivyo watumishi wote tutaweza kulipwa at once.
wengi wanalalamika hawajapata full kuchanganyikiwa
 
habari wadau,akaunti yangu haisomi haki yangu ya julai je kunatetesi yoyote juu ya wengine wamepata wengine hatujapata?
 
Back
Top Bottom