mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Jiandae, kurudi hadi Jtatu asubuhi...Nyongeza ya nn huo huo uliopata
brain is the beautiful part of the body.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae, kurudi hadi Jtatu asubuhi...Nyongeza ya nn huo huo uliopata
Wavute subira mpaka jumatatu nadhani wote watakuwa wamepataJamani awamu hii watumishi wa umma sana sana walimu wanateseka sana,ona sasa karibia nusu yao hawajalipwa mishahara yao da huzuni sana hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera yako uloshibaWatu mna njaa duh
Endelea kutokujua.....Hapana hiyo inshu yakusitishwa darasa ka saba ni nyingine na ishu ya baadhi ya watumishi jutoona mshahara wao paka sasa ni nyingine nahatujui tatizo ni bot au nini maana uhakiki nakila kitu vipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya Whatsapp Ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana
Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata
Swali je hapo ulipo vip?what
Duh hii kibokoKuna watu wameingiziwa alafu wakarudisha tena huko iliko toka BOT sijui shida nn
Sent using Jamii Forums mobile app
ficha upumbavu wakoAmbao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
Wenye vyeti feki walishaondolewa toka mwezi wa tanoKabla ya kulalamika na kuulizia Mshahara je umeshathibitisha kama hao wasiopata wana Vyeti halali vinavyotakiwa na Serikali?
mkuu kweli? niaze agiza moja moto moja baridiAmbao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wadeni wamekizingira kibanda ninachoishi hivyo chochote kinaeza kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
wenge linakosaje kwa mfanoPunguzeni wenge