bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,985
Mahan
Mahandow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahandow
Wanaombea nini?Kuna kongamano la maombi la taifa nzima...kwakwel we need God
Maamuzi kutoka Juu
kulikuwa na tangazo miaka ya 90 sikumbuki lilihusu nini, jamaa alisema mwaka arobaini na Saba akimaanisha zamani..tangu hapo ikawa cha zamani ni cha mwaka 47Mkuu kwa nin watu wengi wakitaka kurefer kitu kilichofanyika miaka mingi nyuma hupenda kusema mwaka 47?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tujiajili kakaIla wafanyakazi tuna nyanyasika.
Private sector shida tupu,huku Kwa magufuri kila siku uhakiki.
Nilijua huez kukosekana hapa...mshahar umeingia kesho tukale kitimotoHii ikowazi mkuu wala hujaongopa!
brain is the beautiful part of the body.
Wawe na subira imeanza kusoma mdogo mdogoKutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana
Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata
Swali je hapo ulipo vip?
Hatuhusu huyo akafie mbaliWe umeshiba?
Sio kweli kuna watu wameajiriwa the same year same post lakini moja kapata mwingine badoAmbao hawajapata mshahara ndo wale wanaosubiria kupanda daraja mwez huu so please muwe wapole
Hehehe kuna nyongeza kwani?Nilijua huez kukosekana hapa...mshahar umeingia kesho tukale kitimoto
Nyongeza ya nn huo huo uliopataHehehe kuna nyongeza kwani?
brain is the beautiful part of the body.
Kwani Leo tar ngapi huoni umewahi?ndio mjipange kuna siku mtapita free miezi mitatu.
Ukweli daima utabaki kuwa ukweli.... SERIKALI IMEFILISIKA...Kutoka katika vyanzo tofauti vya magroup ya watumishi wa umma yameibuka malalamiko kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma hawawekewa mshara wa mwezi huu wa saba uliotoka leo mchana
Sababu haijulikani maana tangu zoezi la uhakiki wote umepita wapo salama kabisa na mshahara walikuwa wanapata
Swali je hapo ulipo vip?