Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ikowazi mkuu wala hujaongopa!ndio mjipange kuna siku mtapita free miezi mitatu.
tusio watumishi haturuhusiwi hapa?
Hehe ngoja tuwaachie uzi wenu mkuu, msuguane akili na mwajiri wenu
Huyo jamaa Hana shida watendaji wake aliowapa dhamana ndio waomwangusha,watumia nafasi zao vibayaMzee ulimwengu alisema uyu jamaa anaturudisha mwaka 47 ndio hii sasa poleni watumishi wa umma
hadi sasa salio langu halitoshelezi duuuh mshahara hakunaaa
Msikate tamaa ndugu ni system tu walio tumia.Kila dakika nachungulia akaunti lakini hakuna kitu tusikate tamaa maybe tomorrow
great thinker
Kwa hyo system ikikaa vzur tutapata salary auMsikate tamaa ndugu ni system tu walio tumia.
Chamgamoto kama hii ilishawahi jitokeza wakati wanaanza kulipa mishahara moja kwa moja kutoka hazina.
Hans Pol