Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Ni kweli muda unavyozidi kwenda kuna wengine ndo wanaingiziwa salaryMsikate tamaa ndugu ni system tu walio tumia.
Chamgamoto kama hii ilishawahi jitokeza wakati wanaanza kulipa mishahara moja kwa moja kutoka hazina.
Hans Pol
great thinker