NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
hizo ninazo 3 mkuuianzishe CHEKECHEA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo ninazo 3 mkuuianzishe CHEKECHEA
Unaandika kwa kujiamini kana kwamba una uwezo wa kuangalia salio la account zote Tz, in short had jana jioni ni wachache sana walioingiziwa salary. Bank ya karibu yangu wala haikuwa na watu kama ilivyo desturi. Mimi binafsi sikuingiziwa labda leo.
akili yako imeishia kusubiri mshahara tu...habari wadau,akaunti yangu haisomi haki yangu ya julai je kunatetesi yoyote juu ya wengine wamepata wengine hatujapata?
Wacha uwongo wewe account ya mtu ni kwa matumizi yake hawawezi chukua pesa .Kuweni makini mshahara ukiingia tu utoe wote haraka nasikia hii system Inaingiza na kutoa kwenye acount za watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba tarehe za mshahara badoNi kweli asilimia kubwa ya wafanyakaz hawajaingiziwa mshahara sijui tatizo ni nin
Mshahara umeshatoka bank zote kama wa kwako haujatoka wasiliana na HRO wako kwa ufafanuzihabari wadau,akaunti yangu haisomi haki yangu ya julai je kunatetesi yoyote juu ya wengine wamepata wengine hatujapata?
Mbona hela ikiingizwa kimakosa hawakuiti mtejs uwatolee wanaitoa wenyewe? Mbona ukiwa mkopo wanakwbia udeposit kwenye akaunti yako wanazichukuaje?Wacha uwongo wewe account ya mtu ni kwa matumizi yake hawawezi chukua pesa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huenda wewe ni bwege na unakula majani tu, acha dharau zako huna lolote!
Hakuna anayemlaumu. Achape kazi tu yeye si anapata mshahara?Hivi lawama kwa Rais zinakujaje, kwani mmepata sababu ya hao kukosa mshahara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na avator yako umeweka Ph DMimi mwenyewe elimu yangu diploma sijapata mshahara wangu uhakiki wote nimefanya sina shida
Sent using Jamii Forums mobile app