Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

chanzo wapi
 
Yaani mwezi wa saba tarehe 21 watumishi wamepokea mishahara!
Najiuliza tu kama mngeamchagua yule mgonjwa si ingekuwa Oktoba?
 
kama hujapata nenda kwa HR wako atakuapload your details nusu SAA tuu salary inaingia
 
Yaani mwezi wa saba tarehe 21 watumishi wamepokea mishahara!
Najiuliza tu kama mngeamchagua yule mgonjwa si ingekuwa Oktoba?
We endelea kumuita mgonjwa ohoo utakufa shauri yako wote waliomuita mgonjwa washakata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…