Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunabatizwa kwa moto this timehili janga au ndio kuishi kama mashetani?
😎😎😎😎😎ipunguzwe tu maana utumishi wa umma ni kazi ya kujitolea na sio kulipwa mamilioni
Nakumbuka maneno ya Lema.
Mikanda haitatutosha tutarudi kwenye kujifunga Kamba za mkonge
Unaelewa maana ya udikteta mkuu???[emoji17] Mbele ya tingatinga hakuna kinachoshindikana! 🙂hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
fatilia mkuu halafu urudi tena, pia katika mikopo mabenk huwa wanakata 1/3 ya mshaharahakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Kwani yeye mkulu alikuwa anaishije, then and now!!?Mlishaambiwa mtashushwa chini muishi kama mashetani...Sijui hata mnachoshangaa nini tu??
Mukulu anatekeleza kauli yake kwa vitendo au bado hamjashtuka??