Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
acheni kuleta habari za udaku na kuwapa watu presha,Mshahara unapita kwa bajeti kuu,na bajeti kuu ni sheria kwa mwaka husika,sasa hakuna uwezekano wowote wa kupeleka muswada wa kutengua bajeti ya 2016/2017 ili mishahara iliopitishwa kwenye bajeti ishuke
Mishahara hua haishuki,vinashuka vyeo,Bavicha acheni jamba jamba za kitoto
 
fatilia mkuu halafu urudi tena, pia katika mikopo mabenk huwa wanakata 1/3 ya mshahara
nifatilie nn mkuu?? mbona nimekuchambula vzr sana hapa.Ni kuwa watumishi wengi wa umma zaidi ya 80% wanaishi kwa mikopo na hii inatokana na mishahara kuwa midogo isiyoendana na hali ya uchumi na uhalisia wa maisha.nimetumia mfano wa mtumishi wa umma ambaye ninamjua anayepota Tshs million kwa mwezi na amekopa benk CRDB million 70.
tukirudi kwenye insu yako ya 1/3 -ni kwamba 1/3x3000,000=1,000,000 maana yake ni kwamba kwa sheria za utumishi inakubidi ukikopa makato yasizidi 1/3 hivyo vyovyote wafanyavyo bank wahakikishe mteja anabakiza 1/3 amabyo kwa mfano tuliochukulia mhusika anatakiwa abaki na 1000,000 ,sasa chukulia mtu ndio amebakiwa na hiyo alafu bado wakate hizo 30% amabyo kwa mtu wa mshara wa million 3 ni 900,00.sasa 1000,000-900,000 unabakiwa na 100K je mtu anaweza kuishi kwa laki 1 kwa mwezi??
 
Hivi hawa TUCTA wako wapi mboni kimyaa?? Hawajigusi hata duuh kazi ipo, tufunge mikanda, tufunge mikanda Tanzania tufunge mikanda mpaka titazoea kabisha kama mbwai mbwai tiende tikalime alooo
 
Yeye salari milioni 32 hakatwi kodi,kula,kulala,nguo,matibabu bure...hakika mtu huyu ni hatari kuliko hatari yenyewe!!!!!
 
Na kweli ni matetesi ya kijinga ya yasiyo na maana yeyote ile yani mtu akiona tu ana hamu ya kutukana serikali basi anakimbilia kuja kuweka umbeya hapa au akigonga mwamba kwenye harakati zake za kupitisha mzigo kinyemela bandarini bila kulipa kodi hasira anakuja kuzitolea hapa.
Kwa kweli mimi nitakosoa serikali pale inapokosea lakini siwezi kuunga mkono ujinga kama huu hata unitukane vipi.
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Madeni yako hayahusiani na uendeshaji wa serikali...wakiamua wanaweza na huwez kataa
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Kwa awamu hii Kila kitu kina we zenana mkuu...umesahau ya wakurugenz wa milion 40
 
Ni bora wapunguziwe na sisi tupate ajira ahsante Mh Juma
 
Na kweli ni matetesi ya kijinga ya yasiyo na maana yeyote ile yani mtu akiona tu ana hamu ya kutukana serikali basi anakimbilia kuja kuweka umbeya hapa au akigonga mwamba kwenye harakati zake za kupitisha mzigo kinyemela bandarini bila kulipa kodi hasira anakuja kuzitolea hapa.
Kwa kweli mimi nitakosoa serikali pale inapokosea lakini siwezi kuunga mkono ujinga kama huu hata unitukane vipi.
Lisemwalo lipo tujiandae kisaikolojia
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
mkuu nimekuelewa, sasa wale wakurugenzi wa mil45 ambao mkuu kawashusha mpaka mil15 hii sheria haiwahusu?
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Ukisikia neno dikteta we huwa unaelewa nini??
 
Lakini kwa upande mwingine wacha wanyooshwe bana aah mtu mnaajiriwa nae mwaka mmoja, elimu sawa lakini anakupiga gepu la milioni mbili yaan yeye ana Mil3.5 wewe unabaki na Mil 1.2 kisa tu ana ukaribu au uhusiano na wakubwa
 
Back
Top Bottom