Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Nyumba ndogo miongoni mwa watumishi wa umma zitapungua kwa asilimia 30% ifikapo March 2017
 
Mkuu hizo ni porojo hamna uthibitisho wwte kuwa kun watu wamefutiwa mshahara! emu naomba list ya hizo taasisi ambapo hao vigogo wamefutiwa mishahra!
ukijaribu kusoma hiyo habari kwa makini utaona imeandikwa kiudaku tu
unamaanisha waziri ndio analeta poroja, wewe unaongelea Shelia, auongelei possibility ya Shelia unayoiongelea kuvunjwa, ni bora ungesema kufanya hivyo ni kinyume cha Shelia then ungeishia hapo! sasa naomba uniambie ni mamlaka gani ya kishelia aliyotumia raisi kuzuia shughuri za kisiasa mpaka 2020? Ni kwamba kila kitu kinaweza fanywa na Shelia ikawekwa pembeni.
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Jf sio mahali pa mchezo mchezo wewe ulete habari halafu tena uulize aliye na taarifa atujuze??
 
Hii TUCTA mnakata pesa zetu kufanya nini wizi mtupu
 
Lakini kwa upande mwingine wacha wanyooshwe bana aah mtu mnaajiriwa nae mwaka mmoja, elimu sawa lakini anakupiga gepu la milioni mbili yaan yeye ana Mil3.5 wewe unabaki na Mil 1.2 kisa tu ana ukaribu au uhusiano na wakubwa
Dah hivi kuna Watu wanapokea mishahara kuanzia milioni kumbe?
I'm hungry
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Lema kaota Ndoto tu sasa anayea Ndoo wewe sasa wadai umepata news bin news ukiizta tetesi kuwa Makini hajaribiwi bwana yule
 
Na kweli ni matetesi ya kijinga ya yasiyo na maana yeyote ile yani mtu akiona tu ana hamu ya kutukana serikali basi anakimbilia kuja kuweka umbeya hapa au akigonga mwamba kwenye harakati zake za kupitisha mzigo kinyemela bandarini bila kulipa kodi hasira anakuja kuzitolea hapa.
Kwa kweli mimi nitakosoa serikali pale inapokosea lakini siwezi kuunga mkono ujinga kama huu hata unitukane vipi.
Hahaha anakuja kutuzubaisha
Ili wapitishe magendo bandali bubu
 
1478629305071.png

Nimeikuta mahali sijui ni kweli
 
Back
Top Bottom