Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

"Kuna watu walkuw wanaishi vizuri kuliko malaika,tutahakikisha tunawapunguzia mishahara ili waishi kama mashetani'
 
ni muda kujifunga shingo.


tutakakae kwa baba mbinguni.
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Ni kweli. Wale waliokuwa wanapata mishahara ya millioni 50 hadi 100m kwa mwezi watapunguziwa hadi isizidi 15m kwa mwezi. Hapo utaona kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma mishahara yao itapungua kwa 80% na siyo hiyo 30% uliyoandika.

Uzuri ni kuwa wengine wengi wataongezewa kamshahara hadi kwa 30% au zaidi. Kwa mfano wale wa mshahara wa 120,000/ per month wataongezwa kwa 80% na wale waalimu wa primary na secondary school watalamba nyongeza ya 30% na wale waalimu wa vyuo vikuu watalamba kanyongeza ka 5%.

Au wewe mkuu ulitaka vipi?
 
Unazungumzia Theory wakati Practically ishaanza kufanya Kazi. Kuna DG wa Bank Moja ya Serikal namhifadh Jina alikuwa analipwa 27M lakin baada ya tangazo la salary kutozidi 15 M nae panga limempitia wakat huo tayar alikuwa na makato ya 9M per month Makato yamebaki vile vile kaishia kupata take home isiyofikia 2M. Siku hizi usiseme kitu Fulani hakiwezekan kwa ku refer Katiba au sheria Siku Hizi tunaendesha Nchi kwa Hekima , busara, utashi na Utayari na uthubutu wa JPM tu na si vinginevyo [emoji3]
lete jina la hiyo bank! kama jamaa hutaki kumtaja jina!
 
Hataki , kwani lazima.

Manyumbu siku hizi hamna kelele za ufisadi toka Lowassa alipomnunuwa Mwenyekiti.
Ha ha sasa kama hataki alivokuwa anasema kwamba atawatangazia watu akili zilikuwa sawa kichwani ?
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
umenena vyema mkuu,ila inawezekana! hasa akiamua yule anayekulipa.
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo

Usibishe tu mkuu. Kwa awamu hii chochote kinawezekana. Kwani mangapi yanafanyika ambayo hayamo kwenye hizo sheria au kanuni ulizozitaja? Tuombe Mungu tu yasitokee ndugu yangu.
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Kinawezekana. Marejesho hayo ya mkopo yatapunguzwa na utaendelewa kukatwa kwa miaka 7-8, badala ya 5-6 ya awali.
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
MTUMISHI WA UMMA NO.1 ALIAHIDI ATAPUNGUZA MSHAHARA WAKE UBAKI 15M. YAWEZEKANA AMESHATEKELEZA MAANA YEYE HUWA ANAONESHA MFANO.
 
Back
Top Bottom