souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,098
Ila jamaa linapenda sifa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi chanzo cha taarifa au ni ile ya kutoka 40m mpaka 15m?Utani kwa namna gani?
We chizi kweli ujui watu wengine wanakula na kusomeshwa na mishahara hyohyo,ikipunguzwa je?we shwaini kwli wwipunguzwe tu maana utumishi wa umma ni kazi ya kujitolea na sio kulipwa mamilioni
Acheni kudanganyana mishahara haitapungua ila zile allowances za kipuuzi zitakomaKuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Basi kwa uchafu huu uliouandika kuna vichwa maji wataudandia kama ulivyo teh teh...Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mikanda haitatutosha tutarudi kwenye kujifunga Kamba za mkonge
Mtu mzima ovyoo.Ulikuwa nazo wewe.
Mtu mzima ovyoo.
toa uzushi wenu. inaelekea kitengo cha misiformation cha ukawa kiko full throttle.Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Ni kweli kabisa mkuu maana utapunguza hadi tundu la mwisho lakini mkanda haukai kiunoni...bora kuhamia kwenye kamba za katani!!!!!!!Mikanda haitatutosha tutarudi kwenye kujifunga Kamba za mkonge
Wakatwe tu maana hakuna namna nyingine...hasa walimu wakatwe sana tu maana kila mwaka ndio wanaisaidia CCM kuiba kura.Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau