Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,824
- 909
hahahahaTunapoendea uko muhogo tutaita muhoo!!! Shikamoo!! Mkulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaTunapoendea uko muhogo tutaita muhoo!!! Shikamoo!! Mkulu
hahahahaTunapoendea uko muhogo tutaita muhoo!!! Shikamoo!! Mkulu
KUPENDA SANA HUSABABISHA MTU KUWA CHONGOacheni kuleta habari za udaku na kuwapa watu presha,Mshahara unapita kwa bajeti kuu,na bajeti kuu ni sheria kwa mwaka husika,sasa hakuna uwezekano wowote wa kupeleka muswada wa kutengua bajeti ya 2016/2017 ili mishahara iliopitishwa kwenye bajeti ishuke
Mishahara hua haishuki,vinashuka vyeo,Bavicha acheni jamba jamba za kitoto
Mh.Rais umetumia mamlaka gani kikatiba kufuta mikutano ya kisiasa by Pasco Mayallahakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Mlishaambiwa mtashushwa chini muishi kama mashetani...Sijui hata mnachoshangaa nini tu??
Mukulu anatekeleza kauli yake kwa vitendo au bado hamjashtuka??
Well said sir.Mikanda haitatutosha tutarudi kwenye kujifunga Kamba za mkonge
Teh teh........hiyo ni kama sheria za kazi zitafuatwa......hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Kuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Kama haijawa taharifa rasmi ni bora tuachane nayo kwanzaKuna tetesi zimeenea kuwa baadi ya watumishi wa umma watapunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%. Aliye na taarifa za kweli atujuze wadau
Hua nawashangaa watanzania baadhi kushabikia kitu bila kutoa hoja iliyoenda shuleTwende kazi baba...Fanya yako ulale mbele waje wengine
Ma DJ Nchi hii ni wengi mno,hata CCM ni MaDJ so,kama mmegawa gas kwa Wachina na Sub Marine zinaisomba kwenda china nyie ni zaidi ya MaDJ,Kwahiyo ccm ni genge la wezi hai,uchumi mmue nyie then leo hii mnatumbua,that is smart Lie.Unaleta tetesi za 30% wakati ukweli ni kuwa wapo waliotumbuliwa 100%.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ma DJ Nchi hii ni wengi mno,Haji ta CCM ni MaDJ so,kama mmegawa gas kwa Wachina na Sub Marine zinaisomba kwenda china nyie ni zaidi ya MaDJ,Kwahiyo ccm ni genge la wezi hai,uchumi mmue nyie then leo hii mnatumbua,that is smart Lie.