Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma kupunguziwa mishahara kwa zaidi ya 30%

Rais kasema bayana kuwa atawwongezea mishahara wanaolipwa kidogo. Wewe utasemaje mishahara inapunguzwa?
 
Mbona mishahara ilisha punguzwa tayari. Increments za mwaka hazipo. Hakuna ongezeko maanayake tayari mishahara ishapunguzwa
 
Necessity is the mother of creativity . You perform better when you are out of confort zone!!
======
Anatulazimisha tuwe wabunifu na kutuweka sehemu ya kutuchangamsha akili kwa mijeredi. Ni sawa lakini anatutakia mema!!
 
Necessity is the mother of creativity . You perform better when you are out of confort zone!!
======
Anatulazimisha tuwe wabunifu na kutuweka sehemu ya kutuchangamsha akili kwa mijeredi. Ni sawa lakini anatutakia mema!!
 
Yaani huyu jamaa badala ya kukuza uchumi ili apate fedha za kutoa huduma kwz wananchi, anatafuta kutupunguzia mishahara ili apate pesa za kujenga mapaarapara? Kawaida mishahara huwa inaongezwa sio kupunguzwa! Mbona yeye mwenyewe hata kiasi analipwa na marupurupu yake hajawahi kuyaweka wazi?
 
hakuna kitu kama hicho na hakita kuja kutokea-ha,mna sheria inayoonyesha mshahara unaweza kupunguzwa na hata kikanuni za uchumi haiwezekani.
nikuulize swali dogo mfano mtu anapokea 3,000,000 kwa mwezi ameenda bank amekopa Milion 90-100 kwa muda wa miaka 5-6 wanamkata kila mwezi kuanzia milion 2ktkt mshahara wake anabakiwa na 1,000,000(take home) ukisema umuondolee 30% ya basic/gross yake maana yake huyo mwenye mshahara wa 3 ambayo (3,000,000x30%=900,000) kwenye mshahara wake aliobaki nao 1M ukitoa hiyo 900K anabakiwa na 100K ni kitu ambacho hakiwezekani!!
kitu ambacho serikali inaweza kukifanya ni kuset mishahara kwa wanao anza sio waliopo
Ha ha subiri uone sasa. Jamaa hadanganyi ni ukweli mtupu.
 
Unaleta tetesi za 30% wakati ukweli ni kuwa wapo waliotumbuliwa 100%.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
LSSE wote jiandaeni .panga linakuja tena la hatari.
 
Wafanyakazi huyu punguani anawatia hofu kwa tetesi zake za kijinga.

Kama unajijuwa kuwa wewe sio jipu basi ujuwe kuna nyongeza yaja na kama ni jipu ujuwe utatumbuliwa 100%.
 
Back
Top Bottom