Lakini Yesu akamwambia," nifuate Waache wafu wazike wafu wao"Hapo unakosea.
Kama unaamini kuna Mungu na unaamini kuna dhambi, maana yake hupaswi kukaa kimya ikiwa unaona dhambi inafanyika. Automatically utakemea tu.
Wakatoliki ndio Wamiliki wa Ukristu Kiongozi.Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Kama katika kanisa katoliki unywaji wa 'gongo' ni halali hata kanisani, ni vipi wakatoliki wasijivunie hao waumini kunywa gongo kanisani au wasijivunie gazeti la mwananchi kuonyesha hilo?Siyo jambo la kujivunia lakini wewe au mimi niaewalaani tuna usafi gani?
Wengine tulikuwa hapa sabasaba Tanga tukila mdudu non stop. Kwani kuna shido?View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Sasa wewe kinachokuuma ni nini?Mbona mapadri huwa wanakunywa konyaji, wanaruhusiwa, wanapewa na waumini na wanaweza kuwapa pia waumini wanaohitaji.
Pombe na ukatoliki ni ndugu, hakuna tatizo.
Mkuu Kanisa gani limewahi kumfikisha mtu kwa Mungu, with what proof beyond reasonable doubt?Yaan hapa aibu ni Kwa Gazeti alitoa taarifa au Kanisan??
Roman Catholic halijawahi kua Kanisa la kumfikisha mwanadamu katika Ufalme wa Baba Mungu .
Unamaanisha ukristu unamilikiwa na wanywa 'gongo' ?Wakatoliki ndio Wamiliki wa Ukristu Kiongozi.
Kasome Harusi ya Kana ndugu Kiongozi!Yesu hakuwa mlevi wala mnywaji wa pombe. Acha kumsingia uongo.
Wengi hapo ni wachagga...wale walioshindwa kwenda kuhiji kwao wameamua kumalizia hasira kanisani.View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi KaKanisani.
Kama ni wanywa Gongo sawa, ila hakuna Ukristu bila ukatolikiUnamaanisha ukristu unamilikiwa na wanywa 'gongo' ?
Masihara haya.
Yaani sio ajabu kwa wakatoliki kunywa gongo kanisani?Haishangazi
Ahsante sana kwa mstari mzuri!
Leta ukweli wako.
Kipi uongo?
Pombe kuruhusiwa ukatolikini?
Upagani wa kiitaliano ulioboreshwa na mapokeo ya ukristo wa kale kisha kuenezwa duniani chini ya mwamvuli wa kanisa?
Nenda kajifunze upya ukatoliki utakuja kukiri hayo hapa hapa JF
Unywaji wa pombe haujawahi kuwa dhambi, kama ni hivo yesu sio kunywa tu bali alitengeneza pombe tamu kuliko iliyoandaliwa pale harusini kana! Pombe tamu ni ile iliyochangamka ndio inayokimbiliwa na watumiaji kwahyo yesu alifanya muujiza wa kutengeneza pombe Kali kushinda ya mwanzo! ko tuseme yesu alifanya dhambihovyo kabisa..wakishalewa wanasusia msiba wa waumini wenzao ambaoo hawajachangia jumuiya
Hiyo ni sehemu ya ibada. Hata Arusha tulikua tuna kunywa, tuna abudu, kula na kusheherekea katikati ya mji na watu wote bila ubaguzi wa dini, wala kabila, jinsia , cheo, sura wala rangi, elimu , masikini au tajiri na bado tukabarikiwa sana.View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Unanifanya nikuone hii issue umeichukulia so personal,unaposisitiza kwamba “wamekunywa pombe kanisani” unaijua mipaka ya Kanisa kati ya jengo la Kanisa na eneo la Kanisa?Kama katika kanisa katoliki unywaji wa 'gongo' ni halali hata kanisani, ni vipi wakatoliki wasijuvunie hao waumini kunywa gongo kanisani au wasijivunie gazeti la mwananchi kuonyesha hilo?
Uko sahihi. Niambie sasa dini ambayo haina hayo uliyosema katika Kanisa Moja Katoliki la Mitume?Habari zote za Nuhu nimetoa kwenye biblia. Habari kamili za ukatoliki zipo kwenye vitabu na maandiko ya kikatoliki, kwa kuwa ukatoliki umejengwa katika maandiko tofauti tofauti, na sio lazima yawe maandiko ya kibiblia. Msingi mkuu wa ukatoliki upo kwenye mapokeo (matamko, maagizo, matangazo, mafundisho ya wakuu wa kanisa katoliki kule Italy)