Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Hapo unakosea.
Kama unaamini kuna Mungu na unaamini kuna dhambi, maana yake hupaswi kukaa kimya ikiwa unaona dhambi inafanyika. Automatically utakemea tu.
Lakini Yesu akamwambia," nifuate Waache wafu wazike wafu wao"
Mathayo 8:22
 
Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.

Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Wakatoliki ndio Wamiliki wa Ukristu Kiongozi.
 
Siyo jambo la kujivunia lakini wewe au mimi niaewalaani tuna usafi gani?
Kama katika kanisa katoliki unywaji wa 'gongo' ni halali hata kanisani, ni vipi wakatoliki wasijivunie hao waumini kunywa gongo kanisani au wasijivunie gazeti la mwananchi kuonyesha hilo?
 
1735719082764.png
 
Leta ukweli wako.
Kipi uongo?
Pombe kuruhusiwa ukatolikini?
Upagani wa kiitaliano ulioboreshwa na mapokeo ya ukristo wa kale kisha kuenezwa duniani chini ya mwamvuli wa kanisa?

Nenda kajifunze upya ukatoliki utakuja kukiri hayo hapa hapa JF

hovyo kabisa..wakishalewa wanasusia msiba wa waumini wenzao ambaoo hawajachangia jumuiya
Unywaji wa pombe haujawahi kuwa dhambi, kama ni hivo yesu sio kunywa tu bali alitengeneza pombe tamu kuliko iliyoandaliwa pale harusini kana! Pombe tamu ni ile iliyochangamka ndio inayokimbiliwa na watumiaji kwahyo yesu alifanya muujiza wa kutengeneza pombe Kali kushinda ya mwanzo! ko tuseme yesu alifanya dhambi
 
View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Hiyo ni sehemu ya ibada. Hata Arusha tulikua tuna kunywa, tuna abudu, kula na kusheherekea katikati ya mji na watu wote bila ubaguzi wa dini, wala kabila, jinsia , cheo, sura wala rangi, elimu , masikini au tajiri na bado tukabarikiwa sana.
 
Kama katika kanisa katoliki unywaji wa 'gongo' ni halali hata kanisani, ni vipi wakatoliki wasijuvunie hao waumini kunywa gongo kanisani au wasijivunie gazeti la mwananchi kuonyesha hilo?
Unanifanya nikuone hii issue umeichukulia so personal,unaposisitiza kwamba “wamekunywa pombe kanisani” unaijua mipaka ya Kanisa kati ya jengo la Kanisa na eneo la Kanisa?

Wewe ukiitizama hiyo video umeona hizo unazoita pombe wakinywea ndani ya jengo la Kanisa?
 
Habari zote za Nuhu nimetoa kwenye biblia. Habari kamili za ukatoliki zipo kwenye vitabu na maandiko ya kikatoliki, kwa kuwa ukatoliki umejengwa katika maandiko tofauti tofauti, na sio lazima yawe maandiko ya kibiblia. Msingi mkuu wa ukatoliki upo kwenye mapokeo (matamko, maagizo, matangazo, mafundisho ya wakuu wa kanisa katoliki kule Italy)
Uko sahihi. Niambie sasa dini ambayo haina hayo uliyosema katika Kanisa Moja Katoliki la Mitume?
 
Back
Top Bottom