Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Baada ya misa kila mtu anao uhuru wa kunywa kinachokuwepo. Wakatoliki hatuna mbwembwe za kilokole, pombe inaruhusiwa.

Kibaya ni kile kimtokacho mtu kinywani vitu mfano wa masengenyo, kiburi, ujivuni, uchonganishi, na sio kile kiingiacho mwilini.
 
Baada ya misa kila mtu anao uhuru wa kunywa kinachokuwepo. Wakatoliki hatuna mbwembwe za kilokole, pombe inaruhusiwa.

Kibaya ni kile kimtokacho mtu kinywani vitu mfano wa masengenyo, kiburi, ujivuni, uchonganishi, na sio kile kiingiacho mwilini.
Mnakunywa ili mwe hivi: ?
Mithali 31
4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
 
Nguvu ya Mungu haikai sehemu ya pombe.
Yesu alibadili maji yakawa mvinyo, bosi wetu sisi wakristo aliongeza pombe kwenye harusi, sasa sisi ni kina nani tusiinywe pombe hapo nje ya kanisa?.

Hapo ni nje ya Saint Joseph baada ya misa ya mkesha wa mwaka mpya kuwa imekamilika, kuna ubaya gani waumini kufurahi kidogo?.
 
Unatetea dhambi, sheria ya Mungu huwa haina utetezi. Walevi wote, wanywa pombe, wazinzi na waesherati wanatenda dhambi wawe wakiristo au walokole wote wanatenda dhambi.
Sawa we hutendi dhambi jipigie makofi nenda uka praise and worship
 
Sawa we hutendi dhambi jipigie makofi nenda uka praise and worship
Mlokole huyo, matatizo matupu hao jamaa, huwa wanapita majumbani mwa watu na Biblia mkononi eti wanakuja kuhubiri habari njema!.

Huku Mbezi Beach huwa nawatoa mkuku tu sitaki mijadala mirefu na wao.
 
Luther hakuwahi kua Mwandishi, BIBLIA ,kama neno la Mungu na ambalo ni Mungu mwenyewe, iliandikwa na Waandishi 40 katika vipindi tofauti tofauti.
Hata Ivo kutokuwepo Kwa teknolojia , Waandishi hao waliandila kwenye magome, vipande vya nguo, Ngozi n.k.


Hiyo ikatupeleke mpaka mwaka 1611, Kwa Amri ya Mfalme James kwanza, kua MAANDIKO hayo matakatifu yaprintiwe Upya .

Ndipo Biblia ikatafasiriwa kutoka Lugha za Waandishi na kuletwa Kwa Lugha ya Kingereza ( ambacho ndicho kiingereza Asilia ,achana na hiki Cha Sasa ) na Kisha maandiko haya matakatifu yanaprintiwa mwaka 1611 kusanyiko hili JIPYA la maandiko matakatifu Kwa Lugha ya Kiingereza likaitwa KING JAMES !!.


Luther ? Luther hakuwahi kuandika Maandiko, In fact Luther baada ya kusoma sana maandiko, akaja Kusoma na hayo mavitabu ya kimapokeo yaloandikwa na Roman Catholic wenyewe.

Akaja kuhitimisha kua MAANDIKO PEKEE YA MUNGU NI VITABU VILEEEE 66 , NA KWA KUYAKATAA MAPOKEO YA RC, AKAAMUA KUJITENGA NA KANISA HILO.
Aisee nimesikitika sana, hebu nenda hata Wikipedia ujue historia halisi, Biblia ilikamilika toka miaka ya 300 kwa agizo la Papa Damasus I, na tayari ilishatafsiliwa kwa kilatini.

Kuna mengi sana huyajui na hata Martin Luther aliengua baadhi ya vitabu vya agano jipya kama ufunuo ila wenzake walirudisha baadae.
 
Hahahah Biblia ya Wakatoliki, Ina vitabu 72 😂😂 utasikia Sira, Sijui nani nani, vitabu vya kininadam vyenye Maneno yaloandikwa yoyote na WANADAM.


Biblia ya Mungu Ina vitabu 66 tu.
Biblia yote ni mapokeo. Hujui chochote juu ya mapokeo ya idadi ya vitabu kutofautiana Canonization. Aisee haya mambo Yana historia yake kuyaona unavyo yaona si kwamba yalishuka toka mbinguni hivyo. "Faith and Reson" zingatia
 
Hata ibada zao zinatumia kiswahili tofauti
  1. Kitubio
  2. Mafungo
  3. Komunyio (kuna makabila hilo ni jina la sehemu ya mwili)
  4. Dominika
  5. Homilia
  6. Komunika
Ukiingia muumini mwingine unaweza kutoka kapa
Imani na akili vinaenda pamoja. Hapa umeacha akili kando
 
Mkuu divai ni nini,?
1. Je Divai ni Pombe?
Ndiyo, divai ni aina ya pombe inayotengenezwa kwa kuvundika matunda, mara nyingi zabibu. Ina kiasi cha kilevi kinachotofautiana, kawaida kati ya asilimia 5 hadi 15 ya pombe kwa ujazo.


2. Je Kila mvinyo una kilevi?
Hapana, si kila mvinyo una kilevi. Kuna aina za mvinyo zisizo na kilevi zinazotengenezwa kwa kuondoa pombe kwenye divai au kwa kutumia mbinu nyinginezo. Mvinyo wa aina hii mara nyingi huitwa "mvinyo usio na pombe" au "mvinyo wa kienyeji" bila kilevi.


3. Tofauti kati ya mvinyo na divai?

Mvinyo: Huu ni neno la jumla linalotumika kwa vinywaji vilivyotengenezwa kwa matunda mbalimbali kupitia mchakato wa uvundikaji. Si lazima uwe na kilevi. Kwa mfano, kuna mvinyo wa ukwaju, wa zabibu, wa maembe, au hata wa nanasi.

Divai: Ni mvinyo maalum unaotengenezwa hasa kutokana na zabibu na kawaida huwa na kilevi. Divai mara nyingi hutajwa katika muktadha wa vinywaji vya pombe, hasa vile vinavyopatikana katika mikoa inayozalisha zabibu.

Kwa kifupi, divai ni aina ya mvinyo, lakini si kila mvinyo ni divai.

Source: (Chatgpt)
 
Mkuu divai ni nini,?
1. Je Divai ni Pombe?
Ndiyo, divai ni aina ya pombe inayotengenezwa kwa kuvundika matunda, mara nyingi zabibu. Ina kiasi cha kilevi kinachotofautiana, kawaida kati ya asilimia 5 hadi 15 ya pombe kwa ujazo.


2. Je Kila mvinyo una kilevi?
Hapana, si kila mvinyo una kilevi. Kuna aina za mvinyo zisizo na kilevi zinazotengenezwa kwa kuondoa pombe kwenye divai au kwa kutumia mbinu nyinginezo. Mvinyo wa aina hii mara nyingi huitwa "mvinyo usio na pombe" au "mvinyo wa kienyeji" bila kilevi.


3. Tofauti kati ya mvinyo na divai?

Mvinyo: Huu ni neno la jumla linalotumika kwa vinywaji vilivyotengenezwa kwa matunda mbalimbali kupitia mchakato wa uvundikaji. Si lazima uwe na kilevi. Kwa mfano, kuna mvinyo wa ukwaju, wa zabibu, wa maembe, au hata wa nanasi.

Divai: Ni mvinyo maalum unaotengenezwa hasa kutokana na zabibu na kawaida huwa na kilevi. Divai mara nyingi hutajwa katika muktadha wa vinywaji vya pombe, hasa vile vinavyopatikana katika mikoa inayozalisha zabibu.

Kwa kifupi, divai ni aina ya mvinyo, lakini si kila mvinyo ni divai.

Source: (Chatgpt)
 
Mlokole huyo, matatizo matupu hao jamaa, huwa wanapita majumbani mwa watu na Biblia mkononi eti wanakuja kuhubiri habari njema!.

Huku Mbezi Beach huwa nawatoa mkuku tu sitaki mijadala mirefu na wao.
Hata wewe YESU KRISTO atakugeuza siku si nyingi utaanza kumwabudu. AMINA
 
Habari zote za Nuhu nimetoa kwenye biblia. Habari kamili za ukatoliki zipo kwenye vitabu na maandiko ya kikatoliki, kwa kuwa ukatoliki umejengwa katika maandiko tofauti tofauti, na sio lazima yawe maandiko ya kibiblia. Msingi mkuu wa ukatoliki upo kwenye mapokeo (matamko, maagizo, matangazo, mafundisho ya wakuu wa kanisa katoliki kule Italy)
Biblia pia ni Mapokeo
 
Back
Top Bottom