Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Pombe ni chakula, waache wenye kuhangaika na maisha wainywe wapoteze mawazo.Waefeso 5:17-18
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
[18]Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;
;