Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

Tatizo uwa mnapenda maslay queen

wengi wenye akili hawana shape zinazovutia, wamekaa ki wife material, wanaonekana washamba balaa..!! Ila haya maisha bhaana..!!😂😂
Picha tafadhali ya wife material alivyokaa kishamba.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Unaingia shamba lenye pilipili kichaa unachuma, unaonja halafu unashangaa mbona inawasha. Si ni pilipili?
 
Huwa natoaga sadaka tu ikiwa Ke atataka kunikopa pesa, nina uzoefu huwa hawanirudishii kamwe hata niwe serious namna gani sana sana ni kuchukiwa milele.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
"Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema"

Sijakasirika bali nimekuweka bayana kuwa wewe ndiwe tutusa na si huyo mwanamke.
Next time soma alama za nyakati halafu amua kiume badala ya kuuliza maswali ya kike...
take it easy. haya maisha usiya complicate sana. sisi wengine tuna move on. na mtu akikuonya shukuru usimchukie jamaa. badilika tu.
 
By your experience, how convincing power should be used fo her entrance towards the room though she wasn't ready?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Nani hana akili weye au yeye? sasa anataka afanye nini na ashakuona bwege? kama unamtaka si uende kwao ukampose na umuoe? unataka umvue nguo halafu umshit? wewe wa wapi? huyu dada anaakili sana. mabwege kama nyinyi mpo wengi mjini mnataka mliwe pesa zenu mpaka mshike akili zenu
 
take it easy. haya maisha usiya complicate sana. sisi wengine tuna move on. na mtu akikuonya shukuru usimchukie jamaa. badilika tu.
Mimi nawafundisha wadogo zangu, ninyi mnaona nawakasirikia...
Mwanamke ameshajipambanua ana tabia gani, badala ya kuchapa mwendo kimyakimya, ninyi mnauliza maswali yanayoonesha udhaifu wenu.
 
Binafsi naamini hili tatizo linachangiwa zaidi na wanaume..

Kama wanaume wote tungekuwa na mtazamo wa kuto honga, hakika mitazamo ya wanawake isingekuwa namna ilivyo leo..
🤣🤣🤣🤣Kqenye chama chochote kila wasaliti hawakosekani.....
 
Hata wanaume lipo toleo la ajabu na wapenda vitonga.
Mtu anakuja kwako anakopa kwamba kesho atarudisha alafu ndio mtokee hata ukidai anajibu nitakupatia ndo milele Hadi unachoka kudai.
 
Mbona kama naona wewe ndio huna akili kulingana na hii mada
 
Nyie kina babu ndio mnaowaharibu kwa kuwapa pesa hovyo 😹😹😹
 
Kimantiki sisi watalebani tunawaita LIABILITIES
 
Nyie kina babu ndio mnaowaharibu kwa kuwapa pesa hovyo 😹😹😹
Bila kufanya hivyo si tutakufa na baridi Mjukuu 😜

Hata hivyo nitaongea na Wazee wenzangu waache hiyo tabia 🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…