Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

🤣🤣🤣 msiache watakufa njaa, vijana hawatunzi babu
Hahaha................hatutaacha Mjukuu, ila muhimu wawe wanatukumbusha kunywa dawa zetu za Presha tu, vinginevyo wanaweza kupata case ya kuua Wazee 😜
 
Yaani hiyo namba nilimuomba jana tu leo anataka hela akale chipsi ila Wanawake wa siku hizi bure kabisa na sikuwa hata na nia ya kumtongoza au kuwa na mahusiano naye 😂😂😂😂
IMG-20240824-WA0037.jpg
 
🤣 kuna jamaa alipata wife material shapeless kabisa ila ana rangi ya wastani chocolate na anasura nzuri, ila ni pure shapeless 🤣. Walikaa kwenye mahusiano kama miaka 2 mpaka 3, Jamaa alimpenda sana na alikuwa anataka aanze mchakato wa kumuoa. Ghafla yule mwanamke shapeless kabisa akaanza kunenepa, ila kunenepa kwake ilikuwa juu kabakia mwembamba ila chini ndio unene wote unajaa, yule shapeless alifungasha msambwanda na mahipsi ambao sio wa kawaida ndani ya muda mfupi, ndani ya muda mfupi ilibidi jamaa yangu amfanyie shopping ya nguo maana nguo zote zilikuwa zinambana sana na zingine zilikuwa zina chanika kutokana na ukubwa wa mahipsi/msambwanda. Baada ya muda mfupi jamaa akaanza kuona mapicha picha 🤣. Mwanamke akaanza kumwambia wewe sio type yangu! Mara akaanza kumwambia wewe huwezi kunioa Mimi! Mara amwambie nahisi nilikosea kuwa na mahusiano na wewe! Huwezi kunioa mimi kisha unipeleke kunifuga mkoani (jamaa alipata kazi ya serikali mkoani)!

Mwisho wa siku ilibidi wa achane tu, mipango ya ndoa iliisha.
Jamaa alipata binti mwingine wa kumuoa







Yule binti kutokana na kuwa na msambwanda mkubwa, akaanza kupata masponsa wenye hela, akawa na vitu vya gharama simu za milioni tatu za iphone ndio zikawa zake, nguo za gharama , nywele za gharama, maisha ya gharama. Akaanza kusafirishwa kwenye mahoteli ya gharama zanzibar, South Africa, Kenya, Dubai. Baadae inasemekana alitiwa Mimba na sponsa na sponsa aliikataa, pia mke wa sponsa alimwambia atamtafuta na kumuua. Sasa hivi huyo dada ni single mother, kachoka, kazeeka, kachakaa karudi kijijini anafanya vibarua.
Kama unavyoona kwa wanaume wanatongoza wanawake wanaoona wanawamudu, the same Goes kwa wanawake. Wanawake wanadate na man anayeweza ku afford kuwa naye, yaaan ile best option ambayo imenmfata 🤣🤣.

Ikitokea wewe ndo ulikuwa best kwake, then gafla ikaja option ingine akapandisha mzani wake wa kipimo cha ubora, basi hakika anaweza kuwa na second thoughts 🤣🤣🤣🤣
 
Nani hana akili weye au yeye? sasa anataka afanye nini na ashakuona bwege? kama unamtaka si uende kwao ukampose na umuoe? unataka umvue nguo halafu umshit? wewe wa wapi? huyu dada anaakili sana. mabwege kama nyinyi mpo wengi mjini mnataka mliwe pesa zenu mpaka mshike akili zenu
Huwa mnateteana sana na kutetea ujinga.suala la kumvua nguo lipo wapi hapo?
 
Sasa unaanza kujiuliza huyo bwana wake alivumilia naye vipi akiwa chuo!
 
Yaani hiyo namba nilimuomba jana tu leo anataka hela akale chipsi ila Wanawake wa siku hizi bure kabisa na sikuwa hata na nia ya kumtongoza au kuwa na mahusiano naye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 3078222
Wanawake wazuri na wanaojiheshimu wapo wengi tu asa sijui nyie mnapita machocho yapi.

Poleni.
 
Binafsi naamini hili tatizo linachangiwa zaidi na wanaume..

Kama wanaume wote tungekuwa na mtazamo wa kuto honga, hakika mitazamo ya wanawake isingekuwa namna ilivyo leo..
Tabia mbaya za wanawake wa kisasa ni matokeo ya kauli, mitazamo, matendo ya baadhi ya Wanaume wachache ambao wameshindwa kucompete kwa mbinu za kiasili.

Mtu anakwambia mwanamke usimwambie unampenda we mpe pesa tu, wadhani wanatengeneza impression ya namna gani?

Mtu anasema mwanamke hatakiwi kupigwa hata kama amekufanya nini, wategemea wanawake wakisikia hivyo wanatafasiri wanaume ni viumbe wa aina gani? [emoji848]
 
Ni ngumu kuishi au kuwa kimahusiano na binti bila kumuomba pesa lakini shida sasa ni namna ya kuomba wanakuwa na desperation sana ndani yao kiasi kwamba unakuwa unamshangaa huyu mtu anachelewa wapi?

Ni kama muda wote wanawaza pesa kutushinda hata sisi wanaume ambao ndio tunazihitaji kuwashinda wao kwenye maisha.

Mwanaume anatoa sana pesa kwenye jamii kumshinda mwanamke lakini cha ajabu mwanamke anataka afanye makusanyo mengi kumshinda mwanaume.

Ninachofurahia kwasasa na wao wamepewa fursa ya kujitafutia so wanajionea ugumu wa kupata hizo 10K, 20K , 30K, 40K na 50K wanazoomba kama buku.

Wakiona ule ugumu wataelewa maana ya neno sina. Mwanamke akishakichezea akapata ujauzito akapata watoto wawili au watatu wakamtegemea wakawa kila saa wanamlilia shida mara chakula, mara wanaumwa, mara nguo, mara wanataka kutoka ndipo sasa wanapata picha ya robo tu ya balaa analokutana nalo mwanaume.

Imagine yeye watoto watatu tu anahisi oxygen inakata, ila mwanaume anaombwa pesa na yeye mke, watoto wote, watoto wa ndugu zake, ndugu zake, ndugu zake yeye mwanamke, wazazi wake yeye mwanamke, wazazi wa mwanaume, jumuiya ya kanisani, kazini, mchepuko, marafiki, majirani, ndugu na jamaa, hawa wote wanamtegemea mwanaume na anaishi kwa utulivu tu na amani bila kulalamika.

Wanawake muwe mnaheshimu hela za mwanaume na kutoziomba utadhani ulitafuta nae. Akisema sina we heshimu na kuchukulia ni kawaida na sio kosa kikatiba. Kuwa mvumilivu au fanya kazi sio uende kugawa utupu wako kwa kisingizio kuwa mwanaume wako amesema hana pesa.

Mnajitengenezea mikosi mikubwa sana siku za baadae, mtakuja kuwa na adhabu ya uzeeni na ya kaburi kutokana na maisha yenu ya sasa. Haya malalamiko ya wanaume ninyi mnacheka na kujiona wajanja, haya tusubirie, anayeanza kucheka huwa anamaliza na kilio.
 
Huyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.

Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.

Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.

Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.

Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.

Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.

Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.

Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.

Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.

Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.

"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?

Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.

After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg

" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"

Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
Umalaya ni mzigo blaza.
 
Alitegemea ungesamehe. Na hapo atakuwa amekusema " MWANAUME HUWA HADAI PESA AKIKOPESHA MWANAMKE" MI huwa nawaambia OK basi tufanye mi siyo mwanaume basi nilipe. Maana hainipunguzii chochote yeye kutoniona mimi si mwanaume kwa kuwa nadai changu.
😆😆😆😆😆😆😆😆 Hizo ni Kauli wanaziheahimu wanaume wapumbavu,Mimi Sina huo mzaha
 
Kilichokutokea hata nami pia kilinitokea isipokuwa huyu alinikubalia kuwa Mpenzi wangu akatoka nami tukakaa mahali tukala tukanywa, bili ilitoka kama 48,000, nikawa namsikilizia anasemaje, cha ajabu akasema amefurahi kutoka nami out ila hajisikii kuliwa nami siku hiyo. Nilimkubalia tukaagiza uber tukasepa, nilipofika karibu na kwao tu alianza kaniambia ye ni jobless woman anahitaji support toka kwangu nimsaidie pesa ya matumizi nikashangaa...nilimwambia siku zote huwa anaishije bila mimi? Alijitetea oooh...huwa anasaidiwq na Ndugu zake mara ye ni single mother ana Watoto watatu anawalea mwenyewe ametelekezewa na Me, nikamwambia "pambana ndiyo ukubwa huo", alizidi kulalamika wewe...nikamwambia "kama anafanya biashara anijuze mapema maana hata hatujafungua mapenzi kivitendo nitaanzaje kuhudumia ghafla ghafla na je nina uhakika hatanibadilikia mbeleni kunikataa?" eti oooh nisiwe na wasiwasi wowote maana kashanikubalia nilimlipia uber nikataka niondoke akanishika mkono nilimkata jicho aliniachia mwenyewe. Baada ya siku 3 alinipigia simu na kuanza kulalamika"kwanini hunitafuti Mpenzi wako, unajua nimeamkaje, nimekula nini, nimeshindaje nikaona isiwe tabu basi nilimkubalia tu kuwa majukumu yalinizidi ndiyomaana aliona kimya" tukaagana, siku 2 mbele alirudia tabia yake ya kunilalamikia kuwa namkosea sana kutomtafuta nakati ye ni Mpenzi wangu, nilikuuliza alitakaje? Alinijibu kuwa simjali sijui hata anaishi vipi, anakulaje anavaaje au analipaje kodi nikamjibu kuwa "yeye si bora sana kiasi awe anatafutwa yeye tu bali hata nami anapaswa kunitafuta ndiyo maana ya upendo" alijitetea weee lakini nilisimamia hapo hapo. Nilikata simu, nili-block na kufuta kabisa no yake mazima. Miezi 6 sasa hatujawasiliana tena. Ke wa Kizazi chetu cha 2000 ni chuma ulete waliochangamka na pasua kichwa tupu.
Maisha baba maisha, hawa wenzetu ni nzito ktk maisha.
 
Kama unavyoona kwa wanaume wanatongoza wanawake wanaoona wanawamudu, the same Goes kwa wanawake. Wanawake wanadate na man anayeweza ku afford kuwa naye, yaaan ile best option ambayo imenmfata 🤣🤣.

Ikitokea wewe ndo ulikuwa best kwake, then gafla ikaja option ingine akapandisha mzani wake wa kipimo cha ubora, basi hakika anaweza kuwa na second thoughts 🤣🤣🤣🤣
Duh!
 
Back
Top Bottom