Hahaha................hatutaacha Mjukuu, ila muhimu wawe wanatukumbusha kunywa dawa zetu za Presha tu, vinginevyo wanaweza kupata case ya kuua Wazee ππ€£π€£π€£ msiache watakufa njaa, vijana hawatunzi babu
mwanakulifind mwanakulugeti
wewe na huyo demu wako wote hamna akili wewe si ndo ulitafuta namba yake.
pambana na hali yako umalaya umalaya tu.
Kama unavyoona kwa wanaume wanatongoza wanawake wanaoona wanawamudu, the same Goes kwa wanawake. Wanawake wanadate na man anayeweza ku afford kuwa naye, yaaan ile best option ambayo imenmfata π€£π€£.π€£ kuna jamaa alipata wife material shapeless kabisa ila ana rangi ya wastani chocolate na anasura nzuri, ila ni pure shapeless π€£. Walikaa kwenye mahusiano kama miaka 2 mpaka 3, Jamaa alimpenda sana na alikuwa anataka aanze mchakato wa kumuoa. Ghafla yule mwanamke shapeless kabisa akaanza kunenepa, ila kunenepa kwake ilikuwa juu kabakia mwembamba ila chini ndio unene wote unajaa, yule shapeless alifungasha msambwanda na mahipsi ambao sio wa kawaida ndani ya muda mfupi, ndani ya muda mfupi ilibidi jamaa yangu amfanyie shopping ya nguo maana nguo zote zilikuwa zinambana sana na zingine zilikuwa zina chanika kutokana na ukubwa wa mahipsi/msambwanda. Baada ya muda mfupi jamaa akaanza kuona mapicha picha π€£. Mwanamke akaanza kumwambia wewe sio type yangu! Mara akaanza kumwambia wewe huwezi kunioa Mimi! Mara amwambie nahisi nilikosea kuwa na mahusiano na wewe! Huwezi kunioa mimi kisha unipeleke kunifuga mkoani (jamaa alipata kazi ya serikali mkoani)!
Mwisho wa siku ilibidi wa achane tu, mipango ya ndoa iliisha.
Jamaa alipata binti mwingine wa kumuoa
Yule binti kutokana na kuwa na msambwanda mkubwa, akaanza kupata masponsa wenye hela, akawa na vitu vya gharama simu za milioni tatu za iphone ndio zikawa zake, nguo za gharama , nywele za gharama, maisha ya gharama. Akaanza kusafirishwa kwenye mahoteli ya gharama zanzibar, South Africa, Kenya, Dubai. Baadae inasemekana alitiwa Mimba na sponsa na sponsa aliikataa, pia mke wa sponsa alimwambia atamtafuta na kumuua. Sasa hivi huyo dada ni single mother, kachoka, kazeeka, kachakaa karudi kijijini anafanya vibarua.
Huwa mnateteana sana na kutetea ujinga.suala la kumvua nguo lipo wapi hapo?Nani hana akili weye au yeye? sasa anataka afanye nini na ashakuona bwege? kama unamtaka si uende kwao ukampose na umuoe? unataka umvue nguo halafu umshit? wewe wa wapi? huyu dada anaakili sana. mabwege kama nyinyi mpo wengi mjini mnataka mliwe pesa zenu mpaka mshike akili zenu
Ukikua utajua.By your experience, how convincing power should be used fo her entrance towards the room though she wasn't ready?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Wanawake wazuri na wanaojiheshimu wapo wengi tu asa sijui nyie mnapita machocho yapi.Yaani hiyo namba nilimuomba jana tu leo anataka hela akale chipsi ila Wanawake wa siku hizi bure kabisa na sikuwa hata na nia ya kumtongoza au kuwa na mahusiano naye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 3078222
Doh hata sikuwa na nia ya kufanya mahusiano naye ila nilikuwa na roll dice tu.Wanawake wazuri na wanaojiheshimu wapo wengi tu asa sijui nyie mnapita machocho yapi.
Poleni.
Shida ni kwamba huwezi jua tabia za mtu kwa muonekano wake.View attachment 3078732
Kelsea pisi hiyo hapo kwa kuiangalia unaweza ukasema ina njaa au tabia mbovu tu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tabia mbaya za wanawake wa kisasa ni matokeo ya kauli, mitazamo, matendo ya baadhi ya Wanaume wachache ambao wameshindwa kucompete kwa mbinu za kiasili.Binafsi naamini hili tatizo linachangiwa zaidi na wanaume..
Kama wanaume wote tungekuwa na mtazamo wa kuto honga, hakika mitazamo ya wanawake isingekuwa namna ilivyo leo..
Umalaya ni mzigo blaza.Huyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.
Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.
Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.
Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.
Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.
Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.
Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.
Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.
Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.
Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.
"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?
Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.
After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg
" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"
Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
ππππππππ Hizo ni Kauli wanaziheahimu wanaume wapumbavu,Mimi Sina huo mzahaAlitegemea ungesamehe. Na hapo atakuwa amekusema " MWANAUME HUWA HADAI PESA AKIKOPESHA MWANAMKE" MI huwa nawaambia OK basi tufanye mi siyo mwanaume basi nilipe. Maana hainipunguzii chochote yeye kutoniona mimi si mwanaume kwa kuwa nadai changu.
Maisha baba maisha, hawa wenzetu ni nzito ktk maisha.Kilichokutokea hata nami pia kilinitokea isipokuwa huyu alinikubalia kuwa Mpenzi wangu akatoka nami tukakaa mahali tukala tukanywa, bili ilitoka kama 48,000, nikawa namsikilizia anasemaje, cha ajabu akasema amefurahi kutoka nami out ila hajisikii kuliwa nami siku hiyo. Nilimkubalia tukaagiza uber tukasepa, nilipofika karibu na kwao tu alianza kaniambia ye ni jobless woman anahitaji support toka kwangu nimsaidie pesa ya matumizi nikashangaa...nilimwambia siku zote huwa anaishije bila mimi? Alijitetea oooh...huwa anasaidiwq na Ndugu zake mara ye ni single mother ana Watoto watatu anawalea mwenyewe ametelekezewa na Me, nikamwambia "pambana ndiyo ukubwa huo", alizidi kulalamika wewe...nikamwambia "kama anafanya biashara anijuze mapema maana hata hatujafungua mapenzi kivitendo nitaanzaje kuhudumia ghafla ghafla na je nina uhakika hatanibadilikia mbeleni kunikataa?" eti oooh nisiwe na wasiwasi wowote maana kashanikubalia nilimlipia uber nikataka niondoke akanishika mkono nilimkata jicho aliniachia mwenyewe. Baada ya siku 3 alinipigia simu na kuanza kulalamika"kwanini hunitafuti Mpenzi wako, unajua nimeamkaje, nimekula nini, nimeshindaje nikaona isiwe tabu basi nilimkubalia tu kuwa majukumu yalinizidi ndiyomaana aliona kimya" tukaagana, siku 2 mbele alirudia tabia yake ya kunilalamikia kuwa namkosea sana kutomtafuta nakati ye ni Mpenzi wangu, nilikuuliza alitakaje? Alinijibu kuwa simjali sijui hata anaishi vipi, anakulaje anavaaje au analipaje kodi nikamjibu kuwa "yeye si bora sana kiasi awe anatafutwa yeye tu bali hata nami anapaswa kunitafuta ndiyo maana ya upendo" alijitetea weee lakini nilisimamia hapo hapo. Nilikata simu, nili-block na kufuta kabisa no yake mazima. Miezi 6 sasa hatujawasiliana tena. Ke wa Kizazi chetu cha 2000 ni chuma ulete waliochangamka na pasua kichwa tupu.
Duh!Kama unavyoona kwa wanaume wanatongoza wanawake wanaoona wanawamudu, the same Goes kwa wanawake. Wanawake wanadate na man anayeweza ku afford kuwa naye, yaaan ile best option ambayo imenmfata π€£π€£.
Ikitokea wewe ndo ulikuwa best kwake, then gafla ikaja option ingine akapandisha mzani wake wa kipimo cha ubora, basi hakika anaweza kuwa na second thoughts π€£π€£π€£π€£