Baba abaka mwanaye wa umri wa miaka 11 mkoani Manyara

Yes yeye mwenyewe aliona hawezi kuacha. One thing nili note kwenye hiyo case, wanasema sitting room kwake kilikuwa na horror movie flani playing 24/7.

I always thought there's something wrong with people watching horror movies, like how can you sit and enjoy such images, and after hearing about Dahmer ndo kabisaa, nikijua mtu anaangalia horror movie namtia alama. Sio wa kawaida kwangu tena.
 
Horror movie siyo kabisa mzee. Watu wa kawaida wataogopa kuangalia, lakini mtu mwenye element za u psychopath anavuta kiti na kuchukua inspiration kutoka kwenye movie.
Inabidi watoto waanze kuangaliwa kwa ukaribu zaidi. Kwa sababu kwa case ya huyu jamaa alivyokuwa mdogo wazazi wake hawakuwa na maelewano mazuri. Na Dahmer alikosa attention ya wazazi akiwa mdogo. Akaanza ukatili kwa wanyama.
Hata mtoto au mtu mzima katili kwa wanyama inabidi aangaliwe sana.
 
Baba wa mtoto: Frednand Yohana

Mama wa mtoto: Justina Emmanuel

Umri wa mtoto: 11

Jinsia ya mtoto: KE

Makazi ya familia: Magugu, Babati.

Jina la mtoto: LIMEHIFADHIWA; ni kichekesho kwa kweli!
 
Hua najiuliza sana na majibu sipati inasimama vipi?? Mbona naona ni kitu hakiwezekani,ni jambo la kawaida mwanaume kusimamisha anapoona sehemu za siri za mwanamke ,lakini kama mwanamke huyo wewe unamwita mama, dada,mwanao kamwe haisimami.
Ndio maana kuna tofauti kati ya roho ya Mungu na ya shetani...
 
Siku nilisoma story ya Jeffrey Dahmer niliskia kinyaa the whole day huyu kaka alikuwa na tatizo kubwa mno
 
Hua najiuliza sana na majibu sipati inasimama vipi?? Mbona naona ni kitu hakiwezekani,ni jambo la kawaida mwanaume kusimamisha anapoona sehemu za siri za mwanamke ,lakini kama mwanamke huyo wewe unamwita mama, dada,mwanao kamwe haisimami.
Mzee mpumbavu kweli huyo na upumbavu wa kwanza ni kulala chumba kimoja na mke na msichana wa miaka 11 kitandani!


Wapishe na mama yake we lala hata jikoni. Upate akili ya kuongeza chumba.
 
Yani ni ukafiri uliokithiri
 
Watu kama hawa ni Gunshot tu na kumpa kesi ya ujambazi😎 japo two wrongs don’t make it right ila its for the better!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…