Baba afungwa jela Maisha kwa Kubaka Wanae Wakike wawili na kumlawiti wa Kiume

Baba afungwa jela Maisha kwa Kubaka Wanae Wakike wawili na kumlawiti wa Kiume

FAMILIA INAMTEGEMEA Vs. KABAKA NA KULAWITI WATOTO WA FAMILIA

haya mambo mawili kama vile yanakinzana, au hapo alikuwa anaongelea familia ipi? 🤔

Ila mashahidi 18 na utofauti wa hiyo miaka ya kutenda makosa, kuna jambo halipo sawa mahali. Naweka 60% anaweza kuchomoka kwenye rufaaa.

Kama ilivyonukuliwa hapo juu ndivyo adhabu aliyopewa kuitumikia jela maisha yako yote hakuna adhabu ya hivyo. Adhabu ni kutumikia kifungo cha maisha jela

Ila haya mambo pia yafanyiwe upelelzi wa kina sana kabla ya kuyapeleka Mahakamani.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida imemhukumu kifungo cha maisha mkazi wa Mtaa wa Majengo, Fabiano Dubabe kwa kosa la kuwabaka na kuwalawiti watoto wake watatu.

Dubabe, aliyekuwa akijishughulisha na kazi ya ulinzi anatuhumiwa kutenda makosa hayo kati ya mwaka 2018 na 2022 kwa nyakati tofauti.

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Robert Oguda alisema Mahakama imeridhishwa bila kuacha shaka kuwa, mtuhumiwa alitenda makosa hayo kinyume na sheria ya adhabu.

Alisema ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka umethibitisha bila kuacha shaka kwamba, mshtakiwa ana hatia kama alivyoshitakiwa.

“Mshitakiwa, Mahakama hii inakutia hatiani kwa makosa mawili ya kubaka watoto wako wawili wa kike kwa nyakati tofauti na kila kosa utatumikia jela miaka 30.

“Lakini unatiwa hatiani kwa makosa matatu ya kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wako wa kiume, kila kosa utatumikia jela maisha yako yote,” alisema Hakimu Oguda.

Mwanasheria wa Serikali na Mwendesha Mashitaka, Nuru Chiwalo alisema mbele ya Mahakama hiyo kuwa mshitakiwa alitenda makosa hayo kati ya mwaka 2018 na 2022.

Chiwalo alisema jumla ya mashahidi 18, akiwamo mke wa mshitakiwa kwa nyakati tofauti walitoa ushahidi dhidi ya Fabiano.

Wakati akijitetea, mshitakiwa aliomba kupunguziwa adhabu kutokana na hatia aliyokutwa nayo kwa kuwa ana familia inayomtegemea.

MWANANCHI

Ila kuna wanaume na wanaume jamani🤔🤔🤔lol
Niseme tuu mkibadilika nyie dunia imepona
 
Huyo mtoto wa kiume alikuwa baunsa mnyanyua vyuma? Maana sasa tunaacha kuangalia ni vipi watoto wanaingizwa kwenye ushoga tumeanza kudhalilisha watu na fani zao eti mabaunsa wanyanyua vyuma ndio mashoga
 
wakati anafanya hayo Mke wake alikua yuko wapi na anafanya nini ?

je Watoto wenyewe wamethibitisha hilo ?

hizi habari zinakua na maswali mengi pengine kunakua na visasi maana kwa akili za kawaida mimi siamini kama Baba anaweza wafanyia hivo Watoto wake wa kuwazaa ila yote tumuachie Mwenyezi Mungu ndiye mjuzi zaidi 🙏
 
Mpuuzi sana familia inayomtegemwa ndio hio kaiangamiza. Badala angejitetea kasingiziwa ila kaomba apunguziwe adhabu hapo inamaanisha hajasingiziwa. wangemlamba kitanzi tu
 
Halafu Kuna watu wanasema madanguro yapigwe marufuku.
Genye Kama hizi angezimalizia kwa wahaya kwa buku mbili tu.
 
wakati anafanya hayo Mke wake alikua yuko wapi na anafanya nini ?

je Watoto wenyewe wamethibitisha hilo ?

hizi habari zinakua na maswali mengi pengine kunakua na visasi maana kwa akili za kawaida mimi siamini kama Baba anaweza wafanyia hivo Watoto wake wa kuwazaa ila yote tumuachie Mwenyezi Mungu ndiye mjuzi zaidi 🙏
Mama alitaka ampoteze huyo mwehu.
 
Mama alitaka ampoteze huyo mwehu.
hai make sense hapa kuna kitu behind mimi akili yangu haikubali kabisa.

sasa baba Mwenye akili zako uliwazaa mwenyewe una akili zako timamu sasa uvif…re hivyo vitoto ili iweje ?

bado hainiingii akilini
 
hai make sense hapa kuna kitu behind mimi akili yangu haikubali kabisa.

sasa baba Mwenye akili zako uliwazaa mwenyewe una akili zako timamu sasa uvif…re hivyo vitoto ili iweje ?

bado hainiingii akilini
Ni kweli inatia shaka, lakini mbona nae kajitetea kwa kuomba kupunguziwa adhabu?
Huoni kama hapo inakuwa kama amekubali kosa?
 
Halafu alivyokuwa taahira ati naomba nipunguzie adhabu kwa sababu nina familia inanitegemea.
Familia inakutegemea kwa hicho kibako na kifiro?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nguvu za kiume sio dili kubwa Sana Kama zinavyohangaikiwa kuliko kuhangaika na maisha. Mbona wazungu nguvu zao kiduchu wanatumia ma toy ama kuwapeleka wapenzi wao kwa waafrika ili wawakaze Ila wanaishi poa zaidi kuliko sie. Inabidi zipunguzwe nguvu zinafanya watu wanafaki even animals mpaka kuku jamani
Nimecheka kaa fala 😂😂😂😂😂😂 daaah wengine mpaka nguruwe mkuuu
 
Back
Top Bottom