Baba agoma kumuozesha mwane kwa mahari ya laki tatu kisa ana degree

Baba agoma kumuozesha mwane kwa mahari ya laki tatu kisa ana degree

Iko Hivi mentality ya kila mwanamke anaitaji kulipiwa mahali kubwa/ Nyingi.
Ila kiukweli Kila mwanamke anataka Maisha ya juu, sasa Jiulize hayo Maisha ya juu anapayataje, tegemeo ni hicho alichokificha ktk Chupi tu.
Pia kumekua na tabia ya Kila mwanamke Kuamini kua Mwanaume ni chanzo Cha uchumi.
Note: Azizi Ki ameongeza ongezeko la wanawake kuitaji Mahari kubwa, pia Wanawake Wengi wanajiringanisha na uthamani wa Fedha.
 
Kstoeni mahari huko unataka hata maandalizi ya harusi baba yake atoe pesa mfukoni kwake?
 
Yaani nakwambiaje mbona ameolewa muda sna huyo chuon wamekaa pamoja ndoa imeanza muda walikua wanakaa wawill hawaa
 
Wakuu zengwe hili limetokea Leo hapa mtaani

Binti kamaliza chuo anataka kuoelewa na mwanaachuo mwenzie Ambae ndio kwanza ananijitafuta.

Baba amekataa kuonesha😂akidai ni dharau binti ameahidi kutoroka sijui itakuwaje

Wazazi mahari ni sawa na kumuuza binti badilikeni
Sasa kwa mahari ya laki tatu huyo binti utaweza kumtunza? Wakati mwingine mkae kimya na si kutukana ati wanamuuza! Mahari ni test ya mwanaume kuona kama yupo tayari kukabiliana na majukumu! Usilazimishe ndoa!
 
Nimecheka Kama mazuri vile kwaio mtoa mada imeishaje na degree yake 🙌🏾
 
Baba anaelewa anachokifanya nakupa kisa kilitokea .....
Binti mmoja aliolewa kwetu miaka mingi iliyopita!!! sasa yeye alisema hakuna haja ya mahari kwani si lazima na kwao hawajali hayo mambo.. alivishwa Pete ya uchumba na ndoa ilifungwa maisha yakaendelea baada ya miaka kumi maisha fresh na mume alifanikiwa kupata teuzi sasa ni muheshimiwa...
Sasa sisi tunatoka kabila ambalo mahari tunatolewwa ni kubwa huku binti kutolewa hata ng'ombe kumi ni kawaida sasa baada ya hiyo miaka kumi mama muheshimiwa na familia yake wakaanza kudai mahari ya million 20 wakithaminisha na degree yake .
Wazee walichukia sana nusu ndoa ivunjwe ilitokea sintofahamu kubwa sana na ndugu yetu ilifikia hatuna akachukua jiko la kabila letu na kutoa mahari stahili yenye vigezo.. maana inaonekana bidada alitaka ndoa huku akiwa amempimia future mwanaume.
Kutokana na lile zogo mama muheshimiwa alipata mke mwenza.
Baba wa mwanamke ana akili.

Akili ya kuuza mtu?

Jamii zote wa watu wenye Akili huwezi kuta huo upuuzi.

Mpo Karne ya 21 Kimakosa.
Mawazo ha Karne ya 11 huko binadamu wakiuzwa kama Dunia za Viazi
 
aisee hii inatesa ndio changamoto ninayo pitia mimi. niliwambia wazazi wanitafutie binti wa kuoa huko kijijini kwetu baada ya kuona jitihada zangu zakupata mke zimegonga mwamba hapa mujini, binti alipatikana tena mzuri nika unganishwa nae tukayajenga na kukubaliana kabisa. shida imekuja kwenye mahali walikubaliana m1.6, wazazi wakasema sawa lakini sisi tutatoa m1 then kiasi kilicho baki kitamaliziwa siku za usoni maana kijana bado anajitafuta tunaomba na ndoa kabisa, wakakubaliana na siku ya kwenda kutoa. chaajabu baada ya siku kadhaa mzee wangu alipokea ujumbe kutoka kwa baba mkwe mtalajiwa ya kwamba mke wake kagoma ETI mpaka pesa ienee, nilishangaa sana mwisho nikawambia Kama hawataki basi wanitumie hala yangu nifanye mambo mengine. nime ambiwa nivute subira wanaweka mambo sawa, lakini kiukweli kama mambo nihaya naona kama kuoa itakua changamoto kwangu

Hakunaga mtu anaoa kwa kutoa Mahari (kununua binadamu) ogopa matapeli.
 
Huyo kijana anataka kuoa halafu anajitafuta? Hapa ndipo vijana wengi tunafeli oa ukiwa na uhakika wa kula na sehemu ya kuishi.
 
Akili ya kuuza mtu?

Jamii zote wa watu wenye Akili huwezi kuta huo upuuzi.

Mpo Karne ya 21 Kimakosa.
Mawazo ha Karne ya 11 huko binadamu wakiuzwa kama Dunia za Viazi
Kila mtu na mtazamo wake,,, pengine huo ni mtazamo wako na uko huru kufikiri mtu anauzwa......
Binafsi nimetolewa mahari kadri ya utamaduni wa kabila langu unavyotaka na wanangu wa kike watatolewa mahari na wa kiume ntawatolea mahari.
Wewe uliye mkamilifu hii Karne ya 21 fanya unachoona kinafaa, fikiri na ongea unachohisi kuongea binafsi sijali.
 
Laki 3 nayo mahari jmn waache dharau Yan mzazi asomeshe mtu aje kuchukua Kwa laki 3
 
Laki 3 nayo mahari jmn waache dharau Yan mzazi asomeshe mtu aje kuchukua Kwa laki 3
Mahari haiamuliwi na gharama za kusomesha. Kihalisi mahari ni kwa ajili ya mwanamke aliyejitunza tu bikira

Huwezi kumtolea mahari mwanamke ambaye wanaume wameshamchezea mpaka basi. Ni utapeli

If she slept with other men for free should be offered for free
 
Back
Top Bottom