Baba agoma kumuozesha mwane kwa mahari ya laki tatu kisa ana degree

Iyo utajua wee
Mm nachojua mahari ni zawadi Kwa anaeolewa
ila kitanzania mahari italipwa tu alaf badae wakiwa vichwa nyie mkiwa mikia mnalamika acheni kukwepa mambo ukiwa mwanaume kubali tu kuwajibika acha visingizio
 
Hajui huku mtaani darasa la saba Wana soko kuliko hao degree holders, soko lao ni dogo na wanaume wanawaogopa coz wengi wao tayari wameshaiva na 50/50. Bas atazeeka nyumbani huyo bint au ataleta ujauzito nyumbani na hiyo ndio aibu kubwa zaidi.
 
Wanaume makini wanapoanzisha mahusiano na wanawake huwa hatuangalii career, status, elimu, kazi, kibunda. Havina uhusiano wowote na ndoa yenye mafanikio.

Thamani ya mwanamke inapimwa na je, atakuwa mke bora, je atakuwa mama bora kwa wanangu? Je, ni wife material? Anashughulikaje na watu wa familia yangu?

Elimu haipimi ubora wa mke
 
Naiunga mkono hoja Yako mkuu
 
Iyo utajua wee
Mm nachojua mahari ni zawadi Kwa anaeolewa
ila kitanzania mahari italipwa tu alaf badae wakiwa vichwa nyie mkiwa mikia mnalamika acheni kukwepa mambo ukiwa mwanaume kubali tu kuwajibika acha visingizio
Uko sahihi mahari ni zawadi ila kiasi cha mahari hakina uhusiano na ikiwa mzazi alimsomesha

Ni jukumu la baba kumsomesha binti yake na asitegemee hizo gharama atakuja kurudishiwa kama sehemu ya mahari itakayolipwa na mwanaume atakayemchumbia binti yake
 
Wastani mahari ng'ombe wanne , au 2,000,000/ lipa 1.400,000/ Deni 600,000/ mahari hatumalizi.
 
😀😀😀😀 mwambie dogo amtie mimba uyo demu. Ataozeshwa bure.
 
Mahar Hain kima Wala kiasi maalumu, inaweza kuwa ni molioni mia Tano ni sawa, inaweza kuwa elfu Kumi ni sawa, ila inategemea unamfuata misimamo gani? Hii ni lioeleza ni taratibu za dini ya kiislam na hiyo ni Zawadi ya muolewaji na Mahari ndo inahalalisha tendo la ndoa si ya wazazi Wala haihusiani na umesomesha mpaka wapi, kwani anaolewa Mwanamke haiolewi elimu.
 
Yaani nakwambiaje mbona ameolewa muda sna huyo chuon wamekaa pamoja ndoa imeanza muda walikua wanakaa wawill hawaa
😀😀😀😀 dingi amegoma kuchukua laki 3 kumbe binti yake alishaolewa kitambo
 
laki tatu ni kama bure...nafikiri zungumzeni nae vizuri awapatie binti bure na atoe baraka zake
 
Haya mambo mnayataka wenyewe, ukiona utaratibu flan unakukwamisha kufikia lengo tafuta namna ya kuu by pass bila kubadili lengo. Don't be a linear thinker. Unamtaka mke mchukue jenga mahusiano mema na upande wa pili, mengine utafanya kwa wakkt wako bila pressure kadri utakavyoona in a process of kujengea mahusiano mema.
 
Sasa kwani huyo wa kiume wazazi hawajateseka kumsomesha..?? Wazazi badilikeni, huyo binti akianza kukitembeza na kuwa dangaji la kimataifa mtatamani hata apewe mimba bila kuolewa
 
Oya, shikilia hapohapo, yaani usioe kabisa, hiyo tabia itahamia kwa mwanae kisha ndani kwako... Piga chini hiyo takataka
 
Huyo Mzee inaonekana kashakaa na Mama wa Mobeto kamwachia Vitini na Notes za Topic 3 za Kusoma ndo maana Kakataa😂😂😂 Laki Tatu kwani ni Google Pixel hiyo
 
UChumi wetu vijana umekuwa mgumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…