baba askofu Hilarion Heagy baada ya kusilimu amechagua jina "Said Abdul Latif"
alisema kwamba "Baada ya miongo kadhaa ya kuhisi kuvutiwa na Uislamu kwa viwango tofauti, hatimaye niliamua kusilimu", "Sikuwa na chaguo lingine isipokuwa ni kusema Laailaha illa Allah Waanna Muhammad Rasulullah"Hakuna mungu apasae kuabudiwa kwa haki ila Mungu mmoja , na Muhammad ni Mtume wa Mungu."
Alihitimu katika chuo cha mapadri cha Holy Resurrection Monastery huko St. Nazianz katika mkoa wa Wisconsin na kuwa padre wa Kikatoliki.
Baada ya habari za kusilimu kwake kuenea na Wakristo kupata huzuni kubwa
Baba Askofu wa kanisa katoliki
Ni habari zilizowapa waumini wengi wa kikatoliki simanzi huku baadhi wakilaani kwa sasa kanisa hilo hasa kwa Marekani na ulaya linajikita zaidi na kutetea badala ya kumemea mahusiano yaliyokatazwa kwenye biblia
Mungu awaongoze katika imani thabit,
alisema kwamba "Baada ya miongo kadhaa ya kuhisi kuvutiwa na Uislamu kwa viwango tofauti, hatimaye niliamua kusilimu", "Sikuwa na chaguo lingine isipokuwa ni kusema Laailaha illa Allah Waanna Muhammad Rasulullah"Hakuna mungu apasae kuabudiwa kwa haki ila Mungu mmoja , na Muhammad ni Mtume wa Mungu."
Alihitimu katika chuo cha mapadri cha Holy Resurrection Monastery huko St. Nazianz katika mkoa wa Wisconsin na kuwa padre wa Kikatoliki.
Baada ya habari za kusilimu kwake kuenea na Wakristo kupata huzuni kubwa
Baba Askofu wa kanisa katoliki
Ni habari zilizowapa waumini wengi wa kikatoliki simanzi huku baadhi wakilaani kwa sasa kanisa hilo hasa kwa Marekani na ulaya linajikita zaidi na kutetea badala ya kumemea mahusiano yaliyokatazwa kwenye biblia
Mungu awaongoze katika imani thabit,