Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
akili zako zinatabirika sana!Vijana kama unaweza ku avoid matatizo na serikali basi kaa pembeni tulia
Utaishia kuitesa familia yako bure na sacrifice yako haitakua na impact yoyote ile
Tutalalamika kidogo mitandaoni then tutakusahau kabisaa
Unataka kubariki nini ?Ungemkanya mapema haya yasingetokea, Palestine kushindana na Israel nadhani unajua kinachofanyikaga.
Hope Polisi watakujibu.
Hakuna nachobarikiUnataka kubariki nini ?
Ila ?Hakuna nachobariki
Nakumbusha wajibu wa mzaziIla ?
Kuwa ?Nakumbusha wajibu wa mzazi
Yaani badala ya kuona kwamba mtu/ watu kutekwa au kupotea katika mazingira tatanishi ni tatizo linalotakiwa watu kupaza sauti ili lisiendelee wewe unawanyamazisha watu. Tuna vyombo mbalimbali kama mtu ametenda kosa si inatakiwa achukuliwe hatua badala ya kutekwa?Vijana kama unaweza ku avoid matatizo na serikali basi kaa pembeni tulia
Utaishia kuitesa familia yako bure na sacrifice yako haitakua na impact yoyote ile
Tutalalamika kidogo mitandaoni then tutakusahau kabisaa
hao deep state wao wako fiti kwenye mambo yasiyo na tija tu, ulinzi wa rasilimali za taifa haiwahusu?Simlimchukulia poa Samia,sasa mnashughulikiwa na deep state nadhani sio Samia tena, kilio chenu wamekisikia cha kumnanga samia na kumkumbuka magufuli, kwaiyo wanamuenzi jiwe pamoja nanyi
Unawezaje kuepuka matatizo na serikali wakati upo kwenye mateso ya serikali?Vijana kama unaweza ku avoid matatizo na serikali basi kaa pembeni tulia
Utaishia kuitesa familia yako bure na sacrifice yako haitakua na impact yoyote ile
Tutalalamika kidogo mitandaoni then tutakusahau kabisaa