Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

Jamaa anagawa misaada anashindwa kumkatia dingi ake hata CHF ya Tsh.30,000/=?
 
Aaha kimsingi ukiwa mama wa nyumbani unaletewa chakula na kila kitu inabdi uwe mpole tuu.. Ila mwanamke mtafutaji aisee hakubali huo Upuuzi...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787] Yani moto unawakaa...
Huwajui wanawake ww, anaweza akawa mtafutaji lakini aking'ang'ania lake huwezi badili, mimi dada ni mwalimu sasa ndio ushangae.
 
Wewe unazani Diamond hatengi muda wake au unataka kila akifanya akuambie wewe.
Bahati mbaya Diamond na mama yake Ni watu wa mitandaoni karibia Kila anachofanya kuhusu maisha yao ya Kila siku kipo mtandani na hata hao wanawake aliozaa nao Ni watu wa mitandaoni wanapost karibia Kila kitu
 
Hajaendaaa south...!! Huo ndo ukweli.. Hata kwenye birthday zao hakwenda.
Sawa mwezi huu hajaenda na hujaisha, je unaijua hiyo miezi ya nyuma. Alafu kazi ya mziki sio kwamba kila siku utakuwa busy ila kwa sasa ni msimu wa siku kuu, kwa msanii yoyote lazima uwe busy.
 
Sawa mwezi huu hajaenda na hujaisha, je unaijua hiyo miezi ya nyuma. Alafu kazi ya mziki sio kwamba kila siku utakuwa busy ila kwa sasa ni msimu wa siku kuu, kwa msanii yoyote lazima uwe busy.
Haya sawa mkuu...Mwisho wa siku Jua zari ndo ataamua Love ya Watoto kwa Diamond huo ndo ukwelii...!!
 
Kwa hiyo sababu hujaona makamera una conclude Diamond haiangalii familia yake.
Mkuu hao wanawake aliozaa nao huwa wanalalamika mtandaoni jamaa hatengi muda na watoto wake. Hasa Zari Mara nyingi huwa anarusha madongo.
Kina kipindi diamond mwenyewe alilalamika Zari amemkatilia asiongee na watoto wake kwenye simu ikafika miezi 5 ndio babutale akaingilia kati akafunga Safari Hadi south kuweka Mambo sawa unajua waganda walivyo na dharua na kiburi
 
Jamaa anagawa misaada anashindwa kumkatia dingi ake hata CHF ya Tsh.30,000/=?
Ndio ushangae sasa,anamuona baba yake ana makosa kwa kumuacha mama yake wakati yeye akiwa mdogo,wakati yeye kafanya kosa lile lile kawaacha wale watoto wadogo kule SA,ndio ujue kuwa hiyo laana haitamuacha salama NA ukimuuliza kwanini kaachana na Zari atasema Zari ndio kamuacha yeye,sasa ndio wakati wa kujirudi kwa kuona kuwa it can happen to anyone and stop those accusation to his father...
 
Huwajui wanawake ww, anaweza akawa mtafutaji lakini aking'ang'ania lake huwezi badili, mimi dada ni mwalimu sasa ndio ushangae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo itakuwa kafa kaozaa...!! Ila hakuna mwanamke anakubali kuendelea kuwa na mwanaume anaeonyesha umalaya waziwaziii... Labda awe desparate sana na ndoaa yani yeye anachojali kaolewa bhasi...
 
Bahati mbaya Diamond na mama yake Ni watu wa mitandaoni karibia Kila anachofanya kuhusu maisha yao ya Kila siku kipo mtandani na hata hao wanawake aliozaa nao Ni watu wa mitandaoni wanapost karibia Kila kitu
Tatizo mnakalili, Diamond sasa yupo katika peak na ndio maana hata ratiba yake ipo busy na mziki sio kazi ambayo itakuweka busy miaka yote, Kuna kipindi mziki utamkataa ataangalia na atakuwa yupo karibu na familia yake, huku akisimamia biashara zake.
 
kitu mapenzi au mahusiano ni mambo magumu sana yanaweza kukufanya ukasahu damu yako kwa hasira diamond bana hajifunzi tu wanawaake walivyo tangu wema na wengine haon japo sawa ila huwez juaa mpk form one mama chib ndio anaachan na baba chibu kunanamna hapo kwa huyu mama
 
Mkuu hii ndo Point ya msingi kabisaa..!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo itakuwa kafa kaozaa...!! Ila hakuna mwanamke anakubali kuendelea kuwa na mwanaume anaeonyesha umalaya waziwaziii... Labda awe desparate sana na ndoaa yani yeye anachojali kaolewa bhasi...
Si ingiliagi uhuru wa kihisia wa dada zangu hata siku moja na mapenzi ni upofu.
 
Tatizo mnakalili, Diamond sasa yupo katika peak na ndio maana hata ratiba yake ipo busy na mziki sio kazi ambayo itakuweka busy miaka yote, Kuna kipindi mziki utamkataa ataangalia na atakuwa yupo karibu na familia yake, huku akisimamia biashara zake.
Eehe yani hata mzee wake alikuwa busy na Kazi tena malori hata miezi mitatu upo njiani tu unasafirisha mzigoo...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] So its a same story hakuna tofauti...
 
Kuna somo la kujifunza hapa.

-SIna uhakika anayosema huyo mzee kwamba aliachana na mama diomond wakati yupo form 1......Mzee kakosea sana hata kama aliachana na mkewe ilibidi atoe matunzo ya mtoto,historia ya diomond inaonekana alikuwa anaokota makopo na sisal,kisha akawa anauza mitumba,ni wazi mzee alitupa mti na jongoo,diamond aliiba cheni ya mama yake ndio akaenda studio kutengeneza ngoma.

-Diamond samehe 7 mara 70 mzee kakubali kosa mpe msahada ingawa mama anaona ukimsaidia atenda kwa michepuke yake ila mbona hata mama yako naye ana ben10? We msaidie tu kashajirekebisha.
 
daimond kama upo humu mmu naomba itazame hii picha kwa makini.
 

Attachments

  • tapatalk_1541694405616.jpeg
    53.7 KB · Views: 14
Mzee Abdul anavuna alichopanda akubali matokeo asonge mbele na maisha yake kwa umri wake apambane tuu na hali yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…