Baba Diamond: Queen Doreen ni mnafiki, nikifa asisogelee jeneza langu

Mzee nae Ana shida Sana huyu.. Asiposogelea hilo kaburi atapungukiwa nini?
 
Tatizo la watoto wa kike huwa hawanaga akiri, wanafikiria kupitia midomo. Kwani kuliluwa na sababu yoyote ya kueleza changamoto wanazokutana nazo toka kwa baba yao. Ameanza kuishi kwa kakaake akiwa mkubwa tu af aseme domo ndo babaake, linaacha kuolewa linazeekea kwa bro wake. Kaongea hvyo ili aendelee kulelewa na kakaake au kakaake aone anampenda, but wanawake ni viumbe wanafiki sn Diamond asiamini maneno ya huyo msichana, hao ndo wanakuja kunyanyasa watoto km kaka umefariki. Diamond mwenyewe sio km hakutani na changamoto za familia yake yote akiwemo yeye mwenyewe Queen lkn anajua ndo familia hiyo.
 
Sifa ya baba ni kulala na mama yako wewe ukazaliwa, period. pampas haihusiki ktk uzazi. Kama queen Dorleen kaelezwa na mama yake kuwa Diamond alifanya mambo kwa mama yake ruksa .
 
Lakini haiwezi kubadilisha kuwa huyo ni baba yako mzazi nafikiri cha msingi ni kusamehe....
Kumsamehe sio lazima nishiriki yanayomuhusu, raha zake ale kwa nafasi yake na shida zake kwa nafasi yake tusitambuane. Mind you sina time ya kumvunjia heshima zaidi zaidi ntamuacha ajilize mtandaoni bila kumjibu na sitotaka mwandishi ajitie kuniuliza chochote.
 
Huyu Mzee kaharibu sasa hapo alivyopaniki.

Unapewa umbea na Watu baki na wewe unaanza kubwata papo hapo, angetulia na kujibu kwa busara.

Vipi kama angetabasamu tu na kusema "ni utoto tu unamsumbua Mwanangu yule, akitulia na kutafakari aliyosema atajirekebisha"

Ila hao GPL nao ni wachonganishi tu, wanachojali wao ni kuuza news hata kama huku nyuma nyie mtasambaratika.
 
Kutembea nje kusaidie kujifunza ustaarabu pia
 
Darleen kakosea sababu diamond ana pesa ndio umkane Baba yako ebu wakae chini wamalize tofauti zao
 
kuwa makini atachana picha zako zote hahahahah
 
kuwa makini atachana picha zako zote hahahahah
Hahahaha maisha sio complicated, wazee kama hawa huhitaji kutumia nguvu ni kumpuuza tu. Hata akikutafuta jibu ni rahisi "sina kinyongo na wewe endelea tu kutoexist na blocks za kila sehemu juu" na ukiendelea kunifata fata ntaomba court order ya kukuzuia kunikaribia kwa namna yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…