Baba Diamond: Usisubiri nife mwanangu, nipeleke Hospitali

Family matters should be solved by family kind and not through media. Mwachen jamaa amalize party yake vyema kukanwa na baba yako ni sawa na mtoto yatima ingekuwa kwa wenzetu huyo mzee angekuwa jela anatumikia kifungo
 
Ngoja aanze kutembea uchi tu karibuni ataanza,baba anaumwa we unaendekufanya anasa na mwanamke wa uzinifu tu,nakusihi diamond msikilize baba yako.

Mungu angekuwa Athumani kweli ange tembea uchi!
 
Muache afe ili iwe fundisho mxiuuu!! ,Baba na mama wanaweza kukukana ila Mungu hawezi kabisa kukukana, yeye ndiye aliyekuimba, sasa kama aliikana damu yake anategemea nini mxiuuu
 
Hawa baba wakati mwingine ni watu kusamehe tu. ila makosa wanayo. Akikuacha anazira na watoto. Ngoja iwe fundisho na kwa wengine.

Unahangaika na watoto weeee. Lleo yuko chuo ndo wa kwanza kumtafutia field.

Wanaume kosana na mke ila hii ya kusema na watoto wako chukua acheni. Sikio tu ndilo halikui. Watoto wanakua.
 
Ni ngumu sana kusamehe hali fulani, ila mtu mzima akikufata akakuomba msamaha tena muafrica wasioomba msamaha wadogo kwao , na unaemuita baba yako, have a heart a forgive. Ndivyo mungu apendavyo na aliagiza samehe mara saba sabini. Utapata thawabu mbinguni
 
Ukifanya fujo...umeambiwa usifanye hiki ww unakuwa jeuri unakaidi hutaki utapigwa tu,na mm nasema wapigwe tu.
 
Mwacheni huyu kijana. Hamjui maumivu aliyokuwa nayo moyoni kuhusu maisha aliyoishi na baba yake. Upendo hutengenezwa hauji kama uyoga. Alichofanya D. Ni kumsamehe lakini hajasahau. Lazima mtofautishe hapo. Niliwahi msikia akiongea juu ya hilo swala ktk. Kipindi kimoja kuwa aliwahi kwenda na mm yake kumuona huyo baba akiwa anaumwa lkn. Bibi yake mzaa baba aliwafukuza kwa kudai wao ndio wanamroga mwanae. Sasa afanyeje. Sasa hivi nae ana muuguza mama yake ambaye kwake nafikiri kama kuchagua ameona ni muhimu kuliko baba. Nafikiri tuliache hilo kama lilivyo ni la kifamilia zaidi. Sisi wengine tumelikuta tu hatujui hata lilianzia wapi. Pole sana D. Kwa kweli una mtihani
 
Leo naona. pichazake anahesabu Dollar kunamanufa!gan babayako hoi unahela makalioni aijalishi alikutendeanini. wapo waliokanwanababazao. leo. wanasimama kamakaka wWATOTO tufanyesehemu yamaishayetu jua. kuna. mbingu baadayahapo

Pdidy ktk ubora wako
 
Niwe open kabisa ningelikuwa Nasib Abdul hakyamungu baba huyu nisengeli msaidia hata kiduchi wacha mungu anihukumu

Mkuu tena ningelikuwa mimi ningekuwa naenda kutembelea jirani za huyu baba na kuwapa misaada lakini kwake nisingeonekana!
 

Yani amtelekeze kabisa asimsaidie dogo a hustle, eti apate mafanikio ndiyo aanze kumtambua kama mwanae then aanze kuleta lawama.
Hivi angekuwa bado maskini anemtambua kuwa diamond ni mwanae?
Eti ugomvi wa wazazi asiungilie, huo ugomvi baba mpaka akamtelekeza ina maana umemuathiri yeye pia sasa iweje isimuume.
Mzee asilalamike kusaidiwa au kutosaidiwa na mwanae imebaki utashi sio wajibu maana huyo sio baba yake alipanda mbegu hakulea jambo ambalo ni rahisi.
Ukipanda ukakosa palilia na kujali shamba usitegemee mavuno
 
Leo naona. pichazake anahesabu Dollar kunamanufa!gan babayako hoi unahela makalioni aijalishi alikutendeanini. wapo waliokanwanababazao. leo. wanasimama kamakaka wWATOTO tufanyesehemu yamaishayetu jua. kuna. mbingu baadayahapo

Kama na wewe ulikataliwa na baba yako badae ukamsamehe pole!!hakuna haja ya kulea wapuuzi wa aina hiyo mkuu!!nawaita wapuuzi tu wanaokataa watoto wao!
 

Wewe ni bandidu! Sio mchezo mama!
 
Wazee wengi wana tabia ya kuzingua mwanzoni thenly mwisho kijana akifanikiwa ndio wanarudi, ipo mifano mingi kama baba Kanumba, baba kigwangala, baba zitto na huyu baba Diamond, dawa ya watu wenye tabia kama hizi ni kuwakazia tu ili liwe fundisho.
 

Kweli aunt Yaani inapain. wenginetumewajua baba. baadayakifaulu kwenda chuo. ndio. anajuakunamtoto. Utafanyaje LEOHII.ndio wanatutegemea. achatu hilosio. m mzee wangu after mom death anakwambia. unajuamamayako. angenisamehe. asingekufa...wakati mamalishamwambia hanashidanae. ilakwake. atolala ajekusalimiawatoto LEOHII anacancer.kilaanaekaona akienda asbh oceanroad natumagari na anarudishwa napaykilakitu huondio upendowa agape. Hasatukijua tunapita. aaunt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…