Baba enzi zake alikuwa na mikwara

Baba enzi zake alikuwa na mikwara

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Hapa alikuwa Mbeya, kuna jamaa kapanda juu ya gari kuhakikisha baba yuko salama! Baba tumemiss sana hizi swaga, wengine wakisema hao jamaa zetu ni wakutoka kwa jirani yako Tolu

B5C49708-FD57-4988-9DE3-D5A9A049C719.jpeg


B8B14ABC-DE4F-42C4-A578-6CBEC36DC340.jpeg


0D386982-50A9-46B7-8EC6-42C9329F54BA.jpeg


40D6B035-D997-4876-92F4-2F7D4047B9B7.jpeg
 
HIVI HUYO ASKARI JUU YA GARI NI WA RWANDA? KWANINI ALIDHARAU JESHI LETU JWTZ NA KWENDA KUWAKODISHA HAWA MPAKA HATA KULINDA TANZANITE YETU MERERANI? ALILIPA KIASI GANI KWA KAGAME?
 
HIVI HUYO ASKARI JUU YA GARI NI WA RWANDA? KWANINI ALIDHARAU JESHI LETU JWTZ NA KWENDA KUWAKODISHA HAWA MPAKA HATA KULINDA TANZANITE YETU MERERANI? ALILIPA KIASI GANI KWA KAGAME?
Acha kuandika story za vijiweni hapa sio fesibuku, bladfakeni
 
Wapo wanaovaa uniform na wapo wasiovaa uniform (ambao ni wengi) hivyo wanaovaa uniform wana sare zao tofauti na majeshi mengine

Hao wenye uniform kama huyo kwenye gari la Rais ndio hao walioonekana wakilinda kule MERERANI; kwa maana hiyo TISS ndio waliokwenda kulinda kule kenye TANZANITE mines!!!
 
Back
Top Bottom