Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Acha akili za kindezi za kuwasemea wafu. Magufuli alishakufa na hayupo tena katika ulimwengu huu. Sisi tulio hai tupambane na hali zetu, hizo mikwara za wafu zibakie huko huko kuzimu. Hapa hatuzitaki.
 

😍😍
Endelea kulala salama papa John Pombe Joseph Magufuli
Tunaendelea kumshukuru Mungu kwaajili ya zawadi ya uhai wako kwetu na kwa taifa letu
 
hivi we si ni bora usingezaliwa ulivyo mpumbavu hivi? Utumbo wote ndio umepotezea muda wako? Mkafungue kanisa mkamuabudu. Mmeumia sana lakini kazi ya Mungu haina makosa, we na wenzio ni lile genge la mafisadi lililokuwa linafaidi keki ya nchi hii
 
hivi we si ni bora usingezaliwa ulivyo mpumbavu hivi? Utumbo wote ndio umepotezea muda wako? Mkafungue kanisa mkamuabudu. Mmeumia sana lakini kazi ya Mungu haina makosa, we na wenzio ni lile genge la mafisadi lililokuwa linafaidi keki ya nchi hii
Nilishawahi kuwashauri wafungue kanisa la kumwabudu Magufuli watapata wafuasi wengi tu humu Kulwa Jilala Crimea TumainiEl and the like
 
Acha akili za kindezi za kuwasemea wafu. Magufuli alishakufa na hayupo tena katika ulimwengu huu. Sisi tulio hai tupambane na hali zetu, hizo mikwara za wafu zibakie huko huko kuzimu. Hapa hatuzitaki.
Hawa sukuma Gang wamekaa kimizimu mizimu sana
 
Hizo mbwa zote zitakufa amini nakwambia hawatashuhudia uchaguzi wa 2025. Mungu ni Mkuu na habagui.
Kupewa macho na HEKIMA ni mateso makubwa Kwa wapewa ujumbe ambao ni vipofu ambao kamwe hawatosikia maonyo Kutoka Kwa wenye HEKIMA.

Sasa wananchi maskini kosa lao ni lipi Hadi wapitishwe njia ngumu kiasi hicho?

Anyway, tusihoji mamlaka ya Muumba maana Kuna ADHABU Kwa 1. Nchi 2. Viongozi 3. KANISA Kwa kushindwa kuomba na kuruhusu makorokoro kutumika madhabahuni.

Chama kimegoma kutubu na Bado kinajivunia siafu waliofarakana nao Kwa kumtusi Magu kiongozi wao.

Hayupo atakayeamini watoto wa kambo watakapopewa rungu Kwa muda Ili kuwafunza KIJANI wenye kibri.

Tusubiri.
 
Ni huzuni iliyoje nyumba nzuri vile, kubwa na ya kifahari kugeukia jaa, na makazi ya popo, bundi, mbuni, na Kila hayawani wa mwituni!!!!!

Eeee Mwenyezi Mungu tunaomba TOBA na REHEMA juu ya nchi yetu nzuri niipendayo TANZANIA.

Usimhukumu mwovu pamoja na mwenye HAKI,

Likumbuke AGANO lako uloliweka juu ya Tanzania kuwa kimbilio na maficho ya watakatifu Dunia nzima.

Lakini ni Dhahiri pia MWANA apendwaye sana mapigo hayaepukiki Kwa Nia ya kumponya na MAUTI.

Pia kama mwenye nyumba ameamua kubomoa nyumba ya zamani Ili kujenga mpya, hayupo wa kumbishia.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
Ebu Sukuma gangs tumieni akili...
Japo sijui kwanini serikali imeamua kuwajengea viongozi Ikulu sawa na gereza.
Lakini unacholalamikia hakipo! Mi nahisi kama mnachuki zenu binafsi asee!
Mbona katajwa na tuzo kapewa??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…