Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Wale wajuaji wa jamiiforums huwa wanakuja kushtuka wakiwa wamechelewa.

Nakumbuka tahadhari ya kifo cha membe ilitolewa wiki mbili kabla lakini wajuaji wa jamiiforums wakajitia ubishi mpaka KACHERO MBOBEZI kadedi kihasara.

Humu pamejaa mamburulaz na mavyeti feki, haya mambo ni magumu kuelewa.
Anawalea Maxence Melo . Nitashangaa sana kama hatawapa vyombo vya ulinzi na usalama taarifa za huyu kichaa ili at iwe nguvuni.
Magufuli aliwapandikiza hawa wajinga wengi wakajiona ndo wenye nchi hii kwa iyo wanafikiri hii ni nchi yao
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Waambie waambie Sisi tulishawashauri Hadi tumechoka
 
Sijafiatilia kilichoendelea Dom ,ila kama kweli hajatajwa, basi hajatendewa hakika jmn ! Khaaa, mnyonge mnyongeni .....
Hajatajwa wakati picha yake ilikuwepo ukutani pamoja na marais wengine waliopita.

Isitoshe zimetolewa tuzo mbili tu kwa marais waliofanikisha uwepo wa hiyo ikulu. Kapewa Nyerere na Magufuli tu. Sijui watu walitaka nini zaidi ya hapo?

Ukisikiliza historia ya hiyo ikulu ambayo JK aliwahi pia kuisoma wakati wa kuweka jiwe la msingi na Magufuli akiwepo alielezea mchango wa kila rais aliyepita japo watu wanataka ionekane ni Magufuli tu peke yake. Hiyo si sawa.
 
Mtoa post una kitu cha maana ,,hoja yako ina mshiko unapaswa usikilizwe.
 
Hajatajwa wakati picha yake ilikuwepo ukutani pamoja na marais wengine waliopita.

Isitoshe zimetolewa tuzo mbili tu kwa marais waliofanikisha uwepo wa hiyo ikulu. Kapewa Nyerere na Magufuli tu. Sijui watu walitaka nini zaidi ya hapo?

Ukisikiliza historia ya hiyo ikulu ambayo JK aliwahi pia kuisoma wakati wa kuweka jiwe la msingi na Magufuli akiwepo alielezea mchango wa kila rais aliyepita japo watu wanataka ionekane ni Magufuli tu peke yake. Hiyo si sawa.
Kumbe , hapo sawašŸ‘
 
Kumbe wewe ni shetani na unajua huko jeraham kukoje?Yule aliombewa mpaka na mapadre Kwa hiyo yupo mbiguni
Hatuendi mbinguni Kwa kuombewa mkuu, ila Kwa kutubu, yaani wewe binafsi, yaani kutengeneza mahusiano yako wewe na Mungu ndo maana Kila mmoja atajibu peke yake atakufa siku yake.
 
Haya makasiriko yako si ya kawaida.Unahitaji msaada wa kisaikolojia.Una pitia kipindi kigumu sana cha maisha na hasira zote umepeleka kwa aliyetangulia mbele ya haki.Tulia na utatue changamoto zako na utakuwa sawa na utayafurahia maisha tena.Kila mtu huwa anapitia hiki kipindi lakini tatizo lako hujui jinsi ya kukabiliana nazo na unadhani kugombana na Marehemu kutakupa ahueni.
Duh nimecheka šŸ¤£šŸ¤£šŸ™Œ
 
Sijafiatilia kilichoendelea Dom ,ila kama kweli hajatajwa, basi hajatendewa hakika jmn ! Khaaa, mnyonge mnyongeni .....
Katika hotuba yake Rais Samia kamtaja mara kadhaa na kuelezea vizuri mchango wake, na kuhitimisha kwa mumwombea raha ya milele na pumziko la amani.
 
Japo mimi team sukuma gang,
lkn kwa mambo haya ya kuabudu mizimu acha tu niwe Upande wa walio hai wenye kumuabudu MUNGU MKUU.

#DKT:SAMIA-ANAJALI_NA-KUTHAMINI-JAMII

#KAZIIENDELEE[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]
 
Hasty generalization kabisa hii.

Hivi hujiulizi JKN kahudumu miaka 24

AHM miaka 10.

BWM miaka 10.

JK miaka 10.

Na JPM miaka 5 unusu .

Kati ya wote hao kibinadamu wote wana mapungufu hata mazuri yao ila haiondoi chama walichopo/kuwepo kimetufikisha hapa tulipo na ninakichukia hasa.

Tuje kwa JPM aliyehudumu kipindi kifupi kupita wote hujiulizi kwanini ndio anasemwa vibaya kuliko wote je watu wanaomsema unafikiri kila kitu wanatunga japo vya kutunga kuhusu ubaya vipo ila vyenye ukweli vipo mfano hebu kumbuka kauli hii

"Mkimchagua mpinzani sileti maji" je unadhani watu wote wa pale Tunduma watampenda JPM kwa kauli hii?

Hebu angalia hapa wanahabari na hata wakosoaji waliomsema walivyopigwa mkwara mzitohttps://www.reuters.com/article/us-tanzania-media-idUSKBN16V25S

Je unafikiri kama aliwakata kumsema akiwa hai sababu aliwatisha wataacha kumsema akiwa amekufa.

Watu kama Ben Saanane , Azory Gwanda na Tundu Lissu walifanyiwa ukatii katika awamu ile na wengineo wengi walio hai , waliopotezwa bila kujulikana , waliokimbilia uhamishoni unataka wampende kama unavyompenda usiwanyime haki yao ya kutokumpenda pia.

Mwisho tu mjiulize kifo cha JPM na Mkapa kilitofautiana miezi 10 tu ila kwanini humu hakuna thread za kumnanga Mkapa ambaye alihudumu miaka 10 na JPM miaka 5 unusu?
Mwenendo wa JPM uliwakosha wote wapenda maendeleo
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa[emoji24][emoji850]. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret [emoji850][emoji24][emoji850]. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Ulisalimiana naye
 
Nilikuwa sikubaliani na magufuli kwenye maeneo mengi ila huwezi kamwe kumtengenisha jpm na miradi hii;ndege za atcl,mradi wa ikulu dodoma, mradi wa reli ya SGR,mradi bwawa la Nyerere, daraja la kigongo busisi hata kama wanasiasa wengine mtataka kujichukulia maujiko kama mmoja leo lakini ukweli wote tunaujua daima,halafu ukim appreciate mwenzako wewe unapungukiwa na nini.
 
Back
Top Bottom